Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,045
- 15,377
Kwani mm ni nani mopaka nimsameheWe ni nani una mhukumu?
Kwani mm ni nani mopaka nimsameheWe ni nani una mhukumu?
Shukrani mkuu.Kama kweli atakuwa na mimba na ni yako, mpe muda! Kuna wakati atakuhitaji itabidi umpokee tuu!
Teh teh teh teh, tupo my sister vijana tunachelewa sana kutambua ukweli kuhusu uzinzi.Uzinzi unabeba roho ya mauti!
Nafurahi kukuona tena na hapa!!
Kuna mahali kaomba msamaha wako?Kwani mm ni nani mopaka nimsamehe
Kwa hyo unakataa ww sio muuaji?? Basi sawa ww sio muuaji ila mtoaji mimbaNimeshangaa saana kaniita muuaji.
Matokeo yake watoto wetu ndo huja kubeba laana zetu!!Teh teh teh teh, tupo my sister vijana tunachelewa sana kutambua ukweli kuhusu uzinzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok labda tu watoto.Tatzo kubwa ni kwamba mmekutana wote watoto kungengekua na mmoja kat yenu anaeweza kunuongoza mwenzake mambo yangekua mepesi na sidhan kama ungekuja kuandika hilo shauri hapa jukwaaan...
Cha kukushauri ni kwamba kama umeona umeshajaribu kusuluhisha vya kutosha mpe na yy hyo assignment muulize ww binafs unahitaji kupata suluhisho nayy ili kuleta furaha kwake na kwako pia yy kama mwanamke anapendekeza mfanye nn kama couple ili kufanya maisha yawe mwororo kwa pande zote mbili (win~wjn situation) then mpe attention usikie atasemaje...
Ukishajua anachowaza utajua cha kufanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna Sehemu nimemuhukumu?Kuna mahali kaomba msamaha wako?
Unaweza kukuta ana mimba ila hakuna kipimo cha kufahamu kama mimba ni yako hadi mtoto azaliwe mkapime DNA.Nitafanya hili ni ushauri mzuri.
Je nikikuta mimba ni yangu na akaendelea kunifanyia hivi vituko nichukue hatua gani? Nimpotezee hadi atakaponitafuta!
Kabisa mkuu,mtoto atateseka,hujasema huyo mwanamke ana umri gani,ila mie naona anapitia mengi..kugombana na familia na kujitenga si kitu kidogo plus mimba,mie kiukweli naona huyo msichana labda kaona you will never be accepted in her family pamoja na kwamba mmezaa wote..so kaona hana future na wewe...familia imemtenga...dunia mbaya,...mpe time ajiadjust ..mwambie ungempenda kumuona huko huko kwa babu yake,you can be only her hope..usimuache.Mkuu mimba iko kama moshi,huwezi kuificha for long...lol
Nieleze upumbavu wangu king labda utanisaidia.Ashakum si matusi
Wanaume wapumbavu wamekuwa mzigo kwa jf siku hizi.
Nilikushukuru mkuu.Kwa hyo unakataa ww sio muuaji?? Basi sawa ww sio muuaji ila mtoaji mimba
?????Kuna Sehemu nimemuhukumu?
Tukipita mitaani watoa mimba kibao sema tunazitolea vyumbani...all is well.Wakat kila uchwao anapiga punyeto
Hukumu iko wapi hapo
Shukrani mkuu.Mimba inaweza kuwa pia sio yako..
Kuwa serious mkuu
United Fan
Hutoi ishaur kwa muuaji wewe nani hadi umuhukumu kama muuaji?Huku iko wapi hapo
Mimba zina mambo mengi. Inaweza hata kubadilisha tabia ya mtu. Wengine wakiwa na mimba hupenda kukutana kimwili sana na wengine huona tendo hilo kama adhabu hata akiwa ndani ya ndoa. Jitulize kubali majukumu endana naye kama mimba ni ya kwako mtakuja kukaa vizuri tu.Shukrani mkuu.
Ila inaumiza akili mwisho wa siku mtoto ndiye atakaye kuja kuumia kisa tunazitibu nafsi zetu.