nderingosha
JF-Expert Member
- Mar 20, 2011
- 4,281
- 3,243
Wana JF nimesikitishwa na taarifa(fununu)kuwa eti mijamaa pale UDSM wamepanga kumtunuku JK tuzo ya PhD ya heshina katika miaka 50 ya uhuru!!
Kama ni honorary PhD wako candidates wengi TZ.......na si JK. Huyu bwana sijui anawafanya nini watanzania mpaka wanampapatikia namna hii jamani.Sipati picha nchi hii iko kwenye matatizo chungu mzima tangu huyu bwana amechukua nchi alafu kila kukicha kuna mijamaa wanajipanga kumpa tuzo huyu mswahili,haiingii akilini yaani...huyu bwana hata kwenye list ya potential candidates hafai kuonekana si tu kufikiriwa.Najua siasa zimeingia sana kwenye vyuo vyetu siku hizi na mijamaa wengi maprofessor yameingia kwenye ushabiki wa kisiasa siku hizi....hili ni janga tena kubwa sana kwa taifa.Kuona mi professor badala ya kufanya research wameingia kushabikia siasa za maji taka na sasa wanataka kumpa tuzo mjinga ili tu kulipa fadhila au kupandishwa vyeo(Mukandara type)......badala ya kufanya research za kumkomboa mtanzania mijamaa wanafanya siasa za chooni, kama kuna mmoja anaboa sana na comments zake (somebody Bana!!) zinazomfagilia kila leo JK na siasa za maji taka za chama chake cha CCM.Mi si mshabiki wa chama lakini i get pissed off napoona mpaka mi professor inatoa so biased comments on status quo ya Tz politics. Ndio sababu misomi yenye hadi PhD siku hizi inakimbilia kwenye siasa za maji taka ili wapate ubunge....wamesahau hata waliyosomea vyuoni......na mbaya zaidi misomi hii hii yenye ajira serikalini ndio kwa kushirikiana na siasa za maji taka za chama tawala wamelifikisha taifa hapa lilipo kwa kujali tu vitambi vyao na 10% za mikataba feki.I wish tz tungekuwa na mtu kama president Sata wa Zambia ambaye ameamua kukamua uchuro wote mwanzo mwisho baada tu ya kuapishwa. Katika kusherekea miaka 50 ya uhuru wa nchi hii watu wachache sana wanaweza kuwa kwenye list (lakini si JK please!)...miongoni mwao ni kama wafuatao...(proposed)...
Kama ni honorary PhD wako candidates wengi TZ.......na si JK. Huyu bwana sijui anawafanya nini watanzania mpaka wanampapatikia namna hii jamani.Sipati picha nchi hii iko kwenye matatizo chungu mzima tangu huyu bwana amechukua nchi alafu kila kukicha kuna mijamaa wanajipanga kumpa tuzo huyu mswahili,haiingii akilini yaani...huyu bwana hata kwenye list ya potential candidates hafai kuonekana si tu kufikiriwa.Najua siasa zimeingia sana kwenye vyuo vyetu siku hizi na mijamaa wengi maprofessor yameingia kwenye ushabiki wa kisiasa siku hizi....hili ni janga tena kubwa sana kwa taifa.Kuona mi professor badala ya kufanya research wameingia kushabikia siasa za maji taka na sasa wanataka kumpa tuzo mjinga ili tu kulipa fadhila au kupandishwa vyeo(Mukandara type)......badala ya kufanya research za kumkomboa mtanzania mijamaa wanafanya siasa za chooni, kama kuna mmoja anaboa sana na comments zake (somebody Bana!!) zinazomfagilia kila leo JK na siasa za maji taka za chama chake cha CCM.Mi si mshabiki wa chama lakini i get pissed off napoona mpaka mi professor inatoa so biased comments on status quo ya Tz politics. Ndio sababu misomi yenye hadi PhD siku hizi inakimbilia kwenye siasa za maji taka ili wapate ubunge....wamesahau hata waliyosomea vyuoni......na mbaya zaidi misomi hii hii yenye ajira serikalini ndio kwa kushirikiana na siasa za maji taka za chama tawala wamelifikisha taifa hapa lilipo kwa kujali tu vitambi vyao na 10% za mikataba feki.I wish tz tungekuwa na mtu kama president Sata wa Zambia ambaye ameamua kukamua uchuro wote mwanzo mwisho baada tu ya kuapishwa. Katika kusherekea miaka 50 ya uhuru wa nchi hii watu wachache sana wanaweza kuwa kwenye list (lakini si JK please!)...miongoni mwao ni kama wafuatao...(proposed)...
- Baba wa Taifa-Julius.K.Nyerere
- Hayati Edward M.Sokoine
- Dr.Salim Salim
- Jaji Joseph Sinde Warioba
- Dr.Asha Rose Migiro
- Mzee Kawawa Rashid