Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,756
ni hadith nzuri yenye ukweli. Hayo mazungumzo uliyanasa wewe?
Ndio tatizo lakupost thread wakati umelewa matapu tapu ndio haya ! hujaeleweka kabisa
Kuleee kunakoitwa Uingeletha watu wamethoma thana, mpaka watoto wadogo wanaongea kingeletha.Poor my country man umefikaje Jamii forum kama sio great thinker du kazi kweli ama kweli walter alichokisema amekifanyia utafiti.