Kama Ni Mzalendo wa Kweli, Kama Una Roho Nyepesi Usisome

kama mnaikumbuka BOTHA speech1985(the former s.african president..
....by now every one of us has see it practically that blacks cannot rule themselves.give them guns and they will kill each other.they are good in nothing else but making noise,dancing,marrying many wives and indulging in sex.let us all accept that Black man is the symbol of poverty,mental inferiority,laziness and emotion incompetence....
.....the fact is that,blacks look like human being and act like human being do, not necessary make them sensible human...
....money can do anything for you.so while we have it,we should make the best use of it.in the meantime my beloved white citezens do not take to heart 'what world says and dont be ashamed of being called racists.i do not mind being called the architect and king of Apartheid.i shall not become a monkey simply because someone has called me a monkey.i will still remain your bright star.
Na huyu nae alitulaumu kwa staili hiyo.mimi nadhani yaliyo ya kweli tuyafanyie kazi.
 
ama kweli Duniani wazungu wanatuona kama mafisi . Hata hivyo kuwanyenyekea ndio kumetufanya tuwe hivyo, mtamkumbuka sana Mugabe na Gaddaffi
 
Kwa kweli huyo Mzungu amezungumza ukweli, kama mtakumbuka mwaka jana yule Waziri mkuu Pinda aliposema kuwa Watanzania ni wavivu kumbe alikuwa anawasema wenzake walio bungeni na Serikalini wanaojifanya wamesoma kumbe ndio wapumbavu wakubwa kuliko hata Watanzania walio vijijini.

Mtanzania wa kijijini hawezi kuingia mkataba wa ardhi yake kwa miaka 99 au 100 halafu yeye awe ananufaika kidogo. Lakini wale tunaowaamini ndio wanotuuza kwa kutuingia mikataba ya kipumbavu na kijinga.

Siku zote huwa nasema Viongozi wetu walio serikali ni wapumbavu na wajinga kuliko msukuma mkokoteni wa Kariakoo.
 
Wasomi wetu wengi wanajali Certificates just for show off na ndio maana hata wizi wa mitihani na Phds fake umekuwa mchezo wa kawaida,kuna msemo huu'A gentleman in rank but Nothing in the Pocket' hivi ndio wasomi wetu walivyo.
 
Nchi kama ya tz ndo shamba la bibi kabisaa. Hata stick za meno tu zinatoka nje. Tz tuna sera mbovu sana ambazo zinawanufaisha wageni. Tumeua viwanda kama zzk na vingine vingi sana. Walter ana haki ya kuusema ukweli, waafrika ni watumwa wa wazungu.

Ila ujinga wote huo unatokana wale tuliowaweka kwenye vyombo vya maamuzi. Wamejaa ubinafsi na kutaka kuzinufaisha familia zao. Wasomi wetu nao ndo vile, ni watu wa kukariri vya kwenye makaratasi lakini kuvifanyia ugunduzi hamna kitu.

"Miafrika ndivyo tulivyo" Nyani Ngabu.
 
Probably the piece is fictional or at best exaggerated for effect.

But regardless, the content is a haunting truth with a credible downhill predicament.

At the risk of "blaming the victim" I do not completely absolve the populace of the responsibility. The hoi polloi is not as powerless as it is made out to be .

Moreover, blaming circumstances is just using a scapegoat. One can claim the weather and lack of natural resources in the north was more of a stumbling block than any circumstances we have faced.

The piece makes a poignant point, even if by employing poetic license.
 
walter alitupasha miaka 30 inapita. badala y Kuamka twatazamana kama zezeta. hata ukitaka kuwa mbunifu utafungwa. Watenguneza bunduki wangapi wamefungwa
 
To be honest walter amezungumza ukweli mtupu inauma sana kuona tuna miaka hamsin hata kutengeneza baiskeli hatuwezi kutengeneza... tuna misitu mingi hata vijiti vya meno hatuwezi mainjinia wetu wako wapi, wasomi wetu wako wapi jamani
 
Poor my country man umefikaje Jamii forum kama sio great thinker du kazi kweli ama kweli walter alichokisema amekifanyia utafiti.

Dah...mi nimeikubali.. Labda hawa wengine hawakuisoma vizuri ama hawakuisoma kabisa...
Mi imenibadilisha hata katika masuala yangu binafsi.. I have to taka action and change my certain acquired attitudes..
Thanks DSN for this precious material..
 
to be honest walter amezungumza ukweli mtupu inauma sana kuona tuna miaka hamsin hata kutengeneza baiskeli hatuwezi kutengeneza... Tuna misitu mingi hata vijiti vya meno hatuwezi mainjinia wetu wako wapi, wasomi wetu wako wapi jamani

mainjinia hawa wa kugushi lol
tutangoja mno
 
Unajua huyo Walter kama ni wa kutengeneza au wa ukweli , nadhani jamaa kaamua kusema ukweli ambao naamini yeye kama binadamu asingependa kufanyiwa au kuona jamii yake inafanana na Mzambia, kusema ukweli hayo maneno ni ukweli mtupu, hakuna upungufu wowote hapo. Kwenye miaka ya mwanzoni mwa tisini nilikuwa naona watu wengi wakikata majani kwa makwanja pale maeneo ya Airport, lakini moja kwamoja nilipofika South Africa kabla ya Mzee Mandiba kuchukua nchi nikaona wanatumia machine fulani ambazo ni nyepesi tu zinakata majani, kinachokata majani hayo ni kijiwaya kimefungwa na motor kule chini, kwa kweli nilishangazwa na huo utaalamu ambao ni mwepesi tena unafanya kazi ya kukata nyasi kwa urahisi na haraka zaidi, nilitaka kulia baada ya kufikiria wale jamaa zangu pale Airport wanaohangaika siku nzima kukata nyasi kwa kwanja. Sasa nikajiuliza kuwa hata huo utaalamu hatuwezi kuwa nao, au hata ku copy hizo idea na kutengeneza hivyo vijimashine pia ni tatizo, huu ni mfano mmoja tu. Najiuliza ndiyo sie tumebaki ma injinia wa kutengeneza vitu vibovu, siyo kuunda vitu vyetu, kweli kazi ipo, tunahitaji kubadilika kama kweli tunahitaji maendeleo. Mungu ibariki Afrika. na umpe nguvu na moyo bwana Walter wa kutupiga msasa zaidi au kutuvua miwani ya mbao.
 
Sata 1980's sielewi mimi!
Huelewi au hutaki kuambiwa ukweli?
Ndio tatizo lakupost thread wakati umelewa matapu tapu ndio haya ! hujaeleweka kabisa
Wewe ndio umezuka kutoka kwenye mataputapu..kilichokushinda kuona manttiki ni nini kama siyo ulevi au kukosa uelewa wa mambo mazito?
asiyeelewa ana lake jambo, all is truth and the only truth. I wish atumiwe ****** aisome but kwa yeye gazeti la udaku
feel sick
Wamezoea kusoma magazeti ya Shingongo..haya kwao ni maji marefu.
Hivi jamani hili ni jukwaa la Great Thinkers yani usichokielewa hapo ni nini twambie Ndebile ni lugha au nini.Kikwetu neno Ndebile maana yake mtoto aliyezaliwa njiti au kabichi.Usije kuwa wewe ni pre -mature wa Jukwaa hili ndio maana uelewi thread imebeba ujumbe gani.

Kwa kiswahili ni jinsi tulivyopotea atujui tunafanya nini sisi waafrika pamoja na kuwa na tuna baadhi ya wasomi toka kwenye vyuo maalufu duniani kama Oxford,Havard na Yale bado wataalamu wetu wakiludi elimu yao haina masaada kwa mamilioni ya watu wa Africa.Hivyo walter anwacheka viongozi, wasomi na waelevu wa Afrika kuwa ni wagonjwa kiasi kuwa anaweza kumchukua omba omba Mzungu akamuonya akamvisha suti akampleta Afrika akifika uku tunamuita Bwana Mkubwa Mzungu.

Anasema tumekuwa watumwa atutumii elimu kujikwamua na maisha yetu ndio maana akamuachia ujumbe Mzambia ambae ni Mwafrika kama mimi na wewe kinoti cha kuwa tumekuwa matajiri wa umaskini [Lords Of Poverty] ,pamoja na kuwa tunamilki maliasili na madini

Bora uwatafsirie maana wanatia aibu!
 
Ndio tatizo lakupost thread wakati umelewa matapu tapu ndio haya ! hujaeleweka kabisa

kwa reply yako hii mkuu, alichokisema Walter ni sahihi kabisa. May be english ni tatizo, otherwise ameongea mambo mazito sana. Sisi wa Afrika, especially wa tz ni wapuuzi tu!
 
Nilikutana na Mjapani aitwae Taitsu Sato akiwa anakwenda Kenya kufanya apraisal ya Geo-Thermal power station. Akashangaa kwa nini Tanzania nao hawatumii technologia ili wafue umeme kutoka chanzo hicho cha kudumu wakati nchi zote hizi zipo katika bonde la ufa hili hilo. Mshangao wake ulikuwa kama vile hamna wasomi Tanzania. Kuishi kwingi ni kuona mengi. Ndiyo maana akitokea Mwafrica inventive wanampa uraia kwao. Akirudi anatuita sisi ni wajinga. BRAIN DRAIN.
 
Asante DSN, the massage is so strong and clear. Mimi napendekeza message kama hizi zinatakiwa zibandikwe vyuoni kama pale COET na kwingine ili watu wasome. Lakini tatizo pia linakuja pale ambapo viongozi wakiwa na mawazo kama Gaddaffi huwa wanauwawa kinyama. Hivi Water anajua kuwa wazungu pia hawataki kuina Africa inaendelea kama ilivyo sasa kwa China inavyowapa wasiwasi. I think things are complex mora than what Water think
 
Hakuna mfano wa kuigwa kwa hizi nchi zetu kama Mahathir Muhammad wa Malaysia. Msome aliposhika madaraka Malaysia ilkuwaje na alipoachia kaifikisha wapi na nini alikifanya.

Zitto Kabwe anamfahamu, walikutana nae nna uhakika kamsoma. Anaweza kuja kutupa michapo ya Mahathir Muhammad kwa uchache hapa.

Sisi wacha tuwakumbatie Republicans na CDU.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom