Duka la vifaa vya ujenzi maana kuna ujenzi mkubwa unafanyika mjini bukoba hasa baada ya tetemeko,pia biachara ya samaki, simu,na vifaa vya umeme, na pia nguo maana ni karibu mtukula na Kampala. Na vingine vingiNmepata milioni tano nataka nifanye biashara Bukoba na ndiyo mara yangu ya kwanza kwenda tafadhari kama unafahamu fursa na changamoto zilizopo nisaidie
Aisee we mwananMnisamehe bure tuu, out of topic nilivosoma tuu wenyeji wa bukoba akili ikaniambia ingia hapo utapata katerero new version.....
Ndo natoa macho hapa.....
Usiku mwema.
Aisee we mwanamke ulaaniwe tuMnisamehe bure tuu, out of topic nilivosoma tuu wenyeji wa bukoba akili ikaniambia ingia hapo utapata katerero new version.....
Ndo natoa macho hapa.....
Usiku mwema.
/Mnisamehe bure tuu, out of topic nilivosoma tuu wenyeji wa bukoba akili ikaniambia ingia hapo utapata katerero new version.....
Ndo natoa macho hapa.....
Usiku mwema.
Hahahahahhaa na laana yako iwe baraka saba mara sabini loohAisee we mwanamke ulaaniwe tu
/
r u horny? Ingia chemba nikupe contact
Hhahahha ningekupa msaada tatizo upo mbaliHahahahahhaa na laana yako iwe baraka saba mara sabini looh
Mie akili yangu ndo imewaza hivyo na nimekuwa mkweli na muwazi kusema. Hehehehee mnisamehe bure tuu katerero ndo yenyewe, utasikia.... mama Kokuu kula matoke ya kutosha na samaki wa kuchemsha ntarudi saa mbili usiku. Basi ujue shughuli siku hiyo ni kateee tuu hahahahhahaaa.
Hhahahha ningekupa msaada tatizo upo mbali
Ila wewe haujajaliHehehehehee asante kwa kujali