NDUKI
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 3,423
- 2,414
'Asili na maana ya majina haya,je unayafaham'
'Salaam...........natanguliza shukran kwa wote haya,kwa kifupi hii thread haihusiani na DINI yoyote haya ni mawazo binafsi tu kwa mifano na hoja.
Haya majina yanatokana na nini wakuu ningependa kujua tu mwenye sifa gani anastahili kuitwa haya majina na je,vyeo huwa vinaongezeka au ni sawa tu majina mengine wakuu...........nilijiuliza sikupata jibu hivyo nikaona si mbaya ku-share mawazo na Ma GT coz humu ndani hakishindikani kitu i hope.
Mfano,utakuta mtu anasema kauli kama hii "MAMBO VIPI SHEIKH WANGU" halaf huyo mtu mwenyewe utakuta hata ALIF haijui...........pia utaskia mtu anamwita mwenzake "VIPI ASKOFU WANGU" wakati ukimuuliza askofu ana wadhifa gani hajui maana yake na bado anaendelea kuita tu hivyo nadhani labda haelewi maana ya majina haya...
ASKOF,PADRE,SHEIKH,MCHUNGAJI,MAALIM,USTAADH,MUFT,KASISI,KADINALI,MUAADHAM,KUHANI MKUU,NABII sio nabii wa zamani ni hawa wa sasa wakuu,PAPA,KADHI,ULAMAA AU MWANAZUONI..........tuchangieni mawazo juu ya hili kama kweli mnafaham wakuu...
You welcome...!'
'Salaam...........natanguliza shukran kwa wote haya,kwa kifupi hii thread haihusiani na DINI yoyote haya ni mawazo binafsi tu kwa mifano na hoja.
Haya majina yanatokana na nini wakuu ningependa kujua tu mwenye sifa gani anastahili kuitwa haya majina na je,vyeo huwa vinaongezeka au ni sawa tu majina mengine wakuu...........nilijiuliza sikupata jibu hivyo nikaona si mbaya ku-share mawazo na Ma GT coz humu ndani hakishindikani kitu i hope.
Mfano,utakuta mtu anasema kauli kama hii "MAMBO VIPI SHEIKH WANGU" halaf huyo mtu mwenyewe utakuta hata ALIF haijui...........pia utaskia mtu anamwita mwenzake "VIPI ASKOFU WANGU" wakati ukimuuliza askofu ana wadhifa gani hajui maana yake na bado anaendelea kuita tu hivyo nadhani labda haelewi maana ya majina haya...
ASKOF,PADRE,SHEIKH,MCHUNGAJI,MAALIM,USTAADH,MUFT,KASISI,KADINALI,MUAADHAM,KUHANI MKUU,NABII sio nabii wa zamani ni hawa wa sasa wakuu,PAPA,KADHI,ULAMAA AU MWANAZUONI..........tuchangieni mawazo juu ya hili kama kweli mnafaham wakuu...
You welcome...!'