Lily Tony
JF-Expert Member
- Feb 6, 2019
- 2,902
- 3,739
๐๐ wakina mimi hao,mpaka nimekata tamaaKuna wenzangu na mie mti mkavu hata tule nini hakuna lolote.
๐๐ wakina mimi hao,mpaka nimekata tamaaKuna wenzangu na mie mti mkavu hata tule nini hakuna lolote.
Hiyo shughuli ya kuongeza mwili nilishaachana nayo kitambo ๐๐๐.๐๐ wakina mimi hao,mpaka nimekata tamaa
Nilidhani niko peke yangu.๐๐Hiyo shughuli ya kuongeza mwili nilishaachana nayo kitambo ๐๐๐.
Naunga Mkono HojaKuna wenzangu na mie mti mkavu hata tule nini hakuna lolote.
Naunga mkono hoja Maana nilishakula milo 5 kwa siku lakini bado mambo magumu.Naunga Mkono Hoja
Maana Nimehangaika Kuwa Kama Mamelod Yule FIFA Mambo Magumu Yaani Imegoma
Acha Nilidhike Na Hali Yangu Ya Afya Hii Kagame Type
Hapana. Ndivyo navyofanya mimi, kwa sababu pia niko napunguza uzito.Madam unawapiga wenzako kamba
Mimi nadhani cha umuhimu ni mazoezi tuu ht kama unakula sana
Starch ( wanga) pia ni muhimu sana, ili kukupa nguvu, ukiacha kwa muda mrefu unaweza kuja kupelekwa na upepoNilishazoea kabisa. Naweza kunywa glass ya mtindi nikalala bila wasiwasi, asubuhi nikaamkia nusu lita ya maji ya uvuguvugu kisha mayai yangu matatu na mbogamboga. Wali, ugali nimeacha muda. Ni proteins, mbogamboga, na matunda yasiyo na sukari nyingi nakula kwa wingi
Kula tende japo mara kwa mara, utanyumbuka tu๐คDaaahhh next time utuletee solution ya mtu mwembamba kupitiliza afanye nn ili aongeze vinyama kidogo
Sasa hapo utapungua kwa natatizo sio kwa furahaKWA nnavojua Mimi,
Ukitaka kupunguza uzito ulokithiri kwa haraka zaidi, Fanya yafuatayo:-
1. weka nyumba Bondi, Kisha Kakope pesa nyingi benki,
Afu pesa yote Kanunue shamba kando ya mto na uanze kulima tikiki na Ela itakayobaki uchimbe bwawa la ufugaji samaki.
Afu Mvua kubwa inyeshe, tikiki zote zioze , samaki wote wasombwe na maji waende mtoni.
Kisha benki waanze kufatilia Deni lao na hujui pa kupata pesa za kulipa.
Nna uhakika ndani ya mwezi, utapungua uzito.
2. Ingia kwenye mahusiano na MDANGAJI awe na gubu Sana. Afu umpende Sana kwa Moto wako wote.
Utapungua Sana uzito uto AMINI.
Ukipata mwanaume akakupenda hakika utanenepa balaa..wakina mimi hao,mpaka nimekata tamaa
Then isue hua si kula sanaa..isue ni unakula niniii_ ulaji wa chips , soda , n'a vkaangizo vingine vinachangia sana kwny weght gainMimi nadhani cha umuhimu ni mazoezi tuu ht kama unakula sana
Iwekwe kwenye Katiba ya nchi, mazoezi ni lazima kwa kila mwananchi wa umri kuanzia miaka 10Thanks