Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 5,909
- 23,069
Naongezea mkuu..when the deal is too good, probably u are the deal or u are late comerWhen the deal is too good, think twice.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Naongezea mkuu..when the deal is too good, probably u are the deal or u are late comerWhen the deal is too good, think twice.
Hiyo biashara ya nini uzi mbona hujakamilisha maelezo
JembeKillo masikini tuna mawazo mabovu sanaKakope ufanye hiyo biashara tapeli hanithi wewe
Mkuu why ukiulizwa maswali hujibu unakuwa mkali yaani msaada unautoa kwa stahili hii😬JembeKillo masikini tuna mawazo mabovu sana
Wabongo watu wa ajabu ajabu sanaBinafsi sioni kosa na mtoa uzi,nadhani ukimpigia atakupa details kuhusu hiyo Biashara,kisha ni jukumu lako mpigaji kufanya Research husika kabla hujaingia kwenye hiyo Biashara,sasa mnaomtuhumu nadhani mnakosea sana
Labda box za mirungibox za nini unaongelea kwani
Bure aghali!When the deal is too good, think twice.
Itakuwa pembe za NdovuHiyo biashara ya nini uzi mbona hujakamilisha maelezo
nasubiri vilio kwa walio elekea kibla
Kwani kwenye tumbo la mamako ulizaliwa peke yako?? kwanini usiwapw huo mchongo ndugu zako??Hapana mtu anajitolea kutoa mchongo halafu linatokea limtu tu linasema linataka kutapeliwa sijui hizi akili za kijinga watu wanazitoaga wapi
Weka wazi hyo deal watu wachambue na kushauri Kabla ya mtu kupoteza kifuta jasho chake,Ajabu unataka kwenda kuongelea gizani?Watanzania Mentality za kiwiziwizi tu ndo zimejaa vichwani, ili ni tatizo kubwa sana. Ila ukiwaletea dili ya kupata 4000 kwa siku anafurahia, ila deal ya hela nyingi wanaona wizi sababu ya mawazo finyu