#COVID19 Kama ni kweli waliochanja chanjo ya Corona hawazidi laki 4 hadi sasa basi Waziri wa Afya na Naibu wake wajiuzulu

Gwajima ndio mtaalamu wa nini? ndio aliyekwambia Magufuli kafa na corona? Nyie hapa mnasema Magufuli alikuwa hasikilizi wataalamu ila nyie mnafanya vilevile, hapo ulipo huna hata chembe ya ushahidi kuthibitisha hayo madai yako ya kwamba Magufuli kafa kwa corona ila umeshikilia tu hilo suala kama imani kinyume kabisa na wataalamu ambao ndio walikuwa wakimtibu ambao wao wamesema chanzo cha kifo ni matatizo ya moyo ila wewe unakuja hisia zako za chuki na Magufuli unabishia wataalamu unatuambia Magufuli kafa na corona, sasa tukusikilize wewe tusiyekujua hata ni nani au tusikilize wataalamu?
Kamuulize Gwajima. Ana dearth certificate yake. Corona!!!
 
Vipi mkuu umechanja? Pia kuna booster ya kila baada ya miezi 3 unapigwa subiri Serikali wakuletee lakini nasikia Serikali haina mpango wa kununua kwa kuwa wameona mwitikio wa watz ni mdogo. Sasa najiuliza nyinyi mliochanja itakuwaje kuishi bila booster??!!
Wewe utaishije?
 
Kamuulize Gwajima. Ana dearth certificate yake. Corona!!!
Sijawahi kumsikia Gwajima akitoa hayo madai ya kifo cha Magufuli kuwa chanzo ni corona, wewe ndio unaamini kuwa Magufuli kafa kwa corona hivyo ni wewe ndio unahitaji kuthibitisha na si mwengine kukuthitishia hiyo imani yako.
 
Sijawahi kumsikia Gwajima akitoa hayo madai ya kifo cha Magufuli kuwa chanzo ni corona, wewe ndio unaamini kuwa Magufuli kafa kwa corona hivyo ni wewe ndio unahitaji kuthibitisha na si mwengine kukuthitishia hiyo imani yako.
Kwani mpaka umsikie wewe? Basi jaribu kwenda kumuuliza.
 
Sijawahi kumsikia Gwajima akitoa hayo madai ya kifo cha Magufuli kuwa chanzo ni corona, wewe ndio unaamini kuwa Magufuli kafa kwa corona hivyo ni wewe ndio unahitaji kuthibitisha na si mwengine kukuthitishia hiyo imani yako.
 
Nimemsikia msemaji wa serikali akisema waliochanjwa chanji ya covid 19 hadi sasa ni watanzania laki 3 na ushee, hii ni chini ya 50% ya chanjo zilizoletwa zaidi ya mwezi sasa.

Kama takwimu hizi ni sahihi basi Wizara ya afya inafeli sana.

Nini kifanyike?

Kwako mwanabodi.....!
Dunia ianenda kwenye chanjo ya booster wakati waTanzania wanaendelea kulumbana kwenye kachanjo kadogo walichojaribishiwa!.
Siasa zitatumaliza na dunia kutucheka.
Huu ni utopolo usiokubalika viongozi mmeshindwa wapi?
Ndio ninyi wale wale mliounga mkono nyungu!?
 
Pfizer hatuwezi kuihifadhi hapa TZ inataka temperature ya -2C to -38C na vilevile chanjo ni za msaada wa marekani hatuna uchaguzi
Temperature ya -38 Centigrade mpaka -2 Centigrade zina muujiza gani mpaka ishindikane kufikiwa hapa Tanzania?
 
Wapumbavu wote wanaopiga kelele sasa hivi kuwa hawataki chanjo, soon watachanjwa, wewe ukiwa mmoja wao. Ni suala la muda tu. Magufuli angesikiliza hoja za wataalam pengine angekuwa hai mpaka sasa. Nasikia alikuwa anajitapa eti virus kama Trump na uzee wote aliambukizwa na akapona sembuse yeye! Ilipompata ndiyo ikawa hivyo tena. Ubishi mwingine!
Hujui kitu wewe nyumbu. Uwezo wako wa kufikiri ni wa kiwango cha chini sana
 
Mkuu ni kweli idadi ya waliochanja ni ndogo, laki 5 inaweza kuwa bado haijafika, lakini shida sio waziri kwasababu waziri hawezi kuamrisha polis akamate watu wakachanje! Serikali yenyewe kupitia rais wetu na Amiri jeshi mkuu imeshasisitiza kuwa chanjo ni hiyari so haina haja ya kumlaumu waziri!
Lakini yapo mazingira ya kuwalzimisha watu kuchanja chanjo mfano wakisema mtu ambaye hajachanja chanjo hakuna kuingia maeneo ya mikusanyiko mikubwa kama vile kwenye masoko, stendi za mabasi, kwenye viwanja vya mpira n.k.
 
Tatizo tangu mwanzo wa hii pandemic kwetu hapa Tz suala hili lilichukuliwa kisiasa zaidi na kiimani badala ya kuchukuliwa kisayansi zaidi, that was a big mistake na ndio hilo linaitesa serikali na wizara yake ya afya, na litaendelea kuitesa serikali kwa sababu baadhi ya wanasiasa wameshalifanya tatizo hili la corona kuwa ni mtaji wao wa kujipatia umaarufu zaidi na zaidi,
Ni siasa kila pembe ya dunia mkuu.
 
Nimemsikia msemaji wa serikali akisema waliochanjwa chanji ya covid 19 hadi sasa ni watanzania laki 3 na ushee, hii ni chini ya 50% ya chanjo zilizoletwa zaidi ya mwezi sasa.

Kama takwimu hizi ni sahihi basi Wizara ya afya inafeli sana.

Nini kifanyike?

Kwako mwanabodi.....!
Ulitaka wawafuate majumbani wawakamate kwa nguvu

USSR
 
Kwakweli HAMISSA MOBETO
Arudishe zile Ela za uhamasishaji.

Hamna alichohamasisha hapa
 
Sijisikii kama naweza kuiamini bidhaa inayopigiwa chapuo na comedian Mrs Gwajima.. Huyu mama alipaswa kuwa kwenye zile kampuni ambazo wanakwambia wana vidonge ukimeza kimoja ni sawa na umekula bakuli 3 za mboga za majani.
 
Back
Top Bottom