johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,832
- 141,749
Nimemsikia msemaji wa serikali akisema waliochanjwa chanji ya covid 19 hadi sasa ni watanzania laki 3 na ushee, hii ni chini ya 50% ya chanjo zilizoletwa zaidi ya mwezi sasa.
Kama takwimu hizi ni sahihi basi Wizara ya afya inafeli sana.
Nini kifanyike?
Kwako mwanabodi.....!
Kama takwimu hizi ni sahihi basi Wizara ya afya inafeli sana.
Nini kifanyike?
Kwako mwanabodi.....!