Nimesikia taarifa za kifo cha katibu wa kanisa lako aliyejiua kwa sababu ya kukatishwa katika penzi zito alilopata kutoka kwa mkeo.
Ni huzuni kubwa baada ya ujumbe kama ule kusambazwa maana unafadhaisha sana.
Pole sana Masanja kwani ulikuwa na nafasi ya kufanya mambo ya usaliti zaidi kuliko mkeo lakini ulimpa thamani huyo mama ambayo hakuijali.
Hata hivyo nakusihi sana kwamba uwe na kifua kipana maana ninaona usipokuwa imara, utayumba sana kwenye maisha.
Ni muda wa kuwa karibu na Mungu na kuonesha msamaha kwa neema ya Mungu.
Pole sana mkuu
Ni huzuni kubwa baada ya ujumbe kama ule kusambazwa maana unafadhaisha sana.
Pole sana Masanja kwani ulikuwa na nafasi ya kufanya mambo ya usaliti zaidi kuliko mkeo lakini ulimpa thamani huyo mama ambayo hakuijali.
Hata hivyo nakusihi sana kwamba uwe na kifua kipana maana ninaona usipokuwa imara, utayumba sana kwenye maisha.
Ni muda wa kuwa karibu na Mungu na kuonesha msamaha kwa neema ya Mungu.
Pole sana mkuu