dickchiller
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,842
- 3,139
Dah ndio raha ya watanzania kuna watu hawajapitia hizi changamoto waona kama mtu kapenda kutolipa kwa wakati ila kwenye maisha kuna kupanga na kumbuka. Nakupa kipindi niko chuo kuna head of department aliwahi sio lazima wote msome. Ubinafsi unatumaliza sana