mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,817
- 105,997
Makonda ni waziri mtarajiwaMakonda hapiti..kiama yake imefika sasa..katusumbua sana huyu mwana wa mfalme
Ova
Makonda ni waziri mtarajiwaMakonda hapiti..kiama yake imefika sasa..katusumbua sana huyu mwana wa mfalme
It is a strategy to winning the game. Makonda knows what is doing. He is assured to remain "muntu juu".Mie simuamini kbs jiwe, Bashite mwanakujipendekeza hawezi kutia nia Kigamboni bila kumshirikisha God Father!.
kifupi wanatuchezea shere, lao ni moja!.
itoshe tu kusema Bashite ni Mbunge MTEULE wa kigamboni!!!.
Tarehe 08 ulitabirije mkuu🤣🤣🤣
Aaagh ANTIBIOTIC wee MRONGO km tumba mbichi😂😂😂 hakika una kipaji Cha kutengeneza MOVIE ndotoni.........Sasa ni rasmi kuwa ' Hesabu ' za nyingi kwa ' Mpuuzi ' Mmoja ' Kumalizwa ' kabisa na Umaarufu wake unaenda ' Kuzimika ' ghafla ndani ya nchi ya Tanzania na kubakia Mtu wa Kawaida sana tena pengine hata Mimi ' Popoma ' GENTAMYCINE nitamzidi Umaarufu kwani ukiwa ' Maarufu ' tu JamiiForums hapa jua umeshakuwa ' Nguli ' ndani ya Mioyo ya Watanzania hata Milioni 30 hapo
Unaambiwa ' Mkakati ' ulianzia mbali sana na Siku nyingi mno baada ya Mtu huyo ambaye namuita Mpuuzi kuweza ' Kuchokwa ' si tu na Taasisi ' Nyeti ' ambazo zimekuwa zikimsaidia Kazi ' Mteule ' waka bali hata ' Mteule ' wake nae alikuwa si tu ' ameshamchoka ' bali ' amekinaiwa ' nae na alibakiza tu ' Kumtapika ' ili apumzike kama alivyofanya hivi Majuzi
Alitafutwa Mtu ( tena Rafiki yake wa karibu ) na Mpuuzi ili ampe ' Bichwa ' kuwa ' anakubalika ' huko ' alikojitosa ' kwenye Fukwe zenye ' Ustaarabu ' mwingi Dar es Salaam nzima ili tu ' Mteuwaji ' wake apate sababu ya ' Kimsingi ' kabisa ya ' Kumtapika ' mazima mazima kama alivyofanya na unaambiwa hakuna Wiki ambayo Mteuwaji ' amepumua ' na ana ' furaha ' kama hii
Ili ' Kummaliza ' kabisa Mpuuzi huyo Kinachoenda Kufanyika Kwake huko ' Ufukweni ' alikokimbilia ni kwamba ile Kamati ya ' Roho Mbaya ' ndani ya Chama chake imeshapewa ' Maagizo ' makubwa kuwa wahakikishe ' Wanamlima ' Mtu mapema kabisa ambapo tayari kuna Mtu ameshaandaliwa huko japo Mpuuzi ' anajiaminisha ' kuwa atapita tu kwakuwa na ' Pesa ' nyingi za Dhuluma
Ama hakika sasa GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE naamini rasmi kuwa Wahenga hawakukosea waliposema LENYE MWANZO LINA MWISHO.
😞😞😞Sasa ni rasmi kuwa ' Hesabu ' za nyingi kwa ' Mpuuzi ' Mmoja ' Kumalizwa ' kabisa na Umaarufu wake unaenda ' Kuzimika ' ghafla ndani ya nchi ya Tanzania na kubakia Mtu wa Kawaida sana tena pengine hata Mimi ' Popoma ' GENTAMYCINE nitamzidi Umaarufu kwani ukiwa ' Maarufu ' tu JamiiForums hapa jua umeshakuwa ' Nguli ' ndani ya Mioyo ya Watanzania hata Milioni 30 hapo
Unaambiwa ' Mkakati ' ulianzia mbali sana na Siku nyingi mno baada ya Mtu huyo ambaye namuita Mpuuzi kuweza ' Kuchokwa ' si tu na Taasisi ' Nyeti ' ambazo zimekuwa zikimsaidia Kazi ' Mteule ' waka bali hata ' Mteule ' wake nae alikuwa si tu ' ameshamchoka ' bali ' amekinaiwa ' nae na alibakiza tu ' Kumtapika ' ili apumzike kama alivyofanya hivi Majuzi
Alitafutwa Mtu ( tena Rafiki yake wa karibu ) na Mpuuzi ili ampe ' Bichwa ' kuwa ' anakubalika ' huko ' alikojitosa ' kwenye Fukwe zenye ' Ustaarabu ' mwingi Dar es Salaam nzima ili tu ' Mteuwaji ' wake apate sababu ya ' Kimsingi ' kabisa ya ' Kumtapika ' mazima mazima kama alivyofanya na unaambiwa hakuna Wiki ambayo Mteuwaji ' amepumua ' na ana ' furaha ' kama hii
Ili ' Kummaliza ' kabisa Mpuuzi huyo Kinachoenda Kufanyika Kwake huko ' Ufukweni ' alikokimbilia ni kwamba ile Kamati ya ' Roho Mbaya ' ndani ya Chama chake imeshapewa ' Maagizo ' makubwa kuwa wahakikishe ' Wanamlima ' Mtu mapema kabisa ambapo tayari kuna Mtu ameshaandaliwa huko japo Mpuuzi ' anajiaminisha ' kuwa atapita tu kwakuwa na ' Pesa ' nyingi za Dhuluma
Ama hakika sasa GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE naamini rasmi kuwa Wahenga hawakukosea waliposema LENYE MWANZO LINA MWISHO.
😞😞😞Sisi tunadhukuru Mungu kwa kupata mkuu wa mkoa mpya hadi hali ya hewa imekua mzuri
View attachment 1509974
WelldoneWewe Ni mpiga Ramli Kama waganga wengine was Hadi tu.
Si uliandika akichaguliwa Hussein Mwinyi Kama mgombea Zanzibar nchi itawaka Moto , wewe ni kukupuuza tu huna unalojua.
kwenye chai unaweza usitumie sukari ukatumia AsaliHuwezi ukatenganisha tv na remote hizo Ni sarakasi.Chai bila sukari si chai tena.
😞😞😞 DaahIla Kwa Dar huyu RC alikuwa sio bora aende huko alikoelekea, wale 'malaika' wabaya wamtangulie.
VIVA COMRADE PAUL MAKONDA
TIMU USHINDI
TUNAKUKUBALI SANA
VIVA COMRADE PAUL MAKONDA
TIMU USHINDI
TUNAKUKUBALI SANA
Daaah kweli dunia watu na viatu...PCM km mtu mzuri hakosi pia kuchukiwa.....Hapo hajatumbuliwa hali ya hawa imekuwa Nzuri sana akikatwa Dar inakuwa kama Arusha
Mkuu umepiga ramli eee?!!!Makonda hapiti..kiama yake imefika sasa..katusumbua sana huyu mwana wa mfalme
Daaah kweli dunia watu na viatu...PCM km mtu mzuri hakosi pia kuchukiwa.....
Kuna mdau kamtabilia atakuwa waziri wa mambo ya ndaniAtapita usijipe presha Makonda lazima apite wajumbe wanamkubali wanajua akipita watakumbukwa .Makonda mtu wa shukrani.Kila mtu kwenye eneo lake ahakikishe Makonda anapita Kama anataka kukumbukwa .Kura zikienda ndivyo sivyo tusilaumiane mbeleni kuwa ohh Mimi nimesahaulika
Na wapinzani wake wacheza siasa za rafu wajue kwenye siasa Kuna kesho .Ukicheza rafu kesho yako ikiwa Giza usipige yowe
Loooh wishful thinking....Hii kali