Nimeipata taarifa kutoka sehemu mbalimbali katika mchakato wa uchaguzi serikari za mitaa kuwa CCM hawajasimamisha wagombea ina maana UKAWA wanapita bila kupingwa. Kwa mwenye habari kamili ya maeneo hayo atujuze tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.