Kama ni kweli Barbara alisaini na Azam mbona hawaonyeshi huko Rabat?

We mjinga kama walishasaini mwaka mzima ilitakiwa contents za moroko ziruke au hujui hilo
Hapa ndipo tatizo lako lilipo., ujuaji kujifanya unajua vitu vya watu.
Mkataba ni siri umejuaje hiyo "ilitakiwa" wewe kama nani hapo simba au azam?
Wataprove wenyewe kama ni kweli au uongo sio kutuletea umbea hapa.

Halafu vipi djuma shaban mpka sasa hajamaliziwa pesa?
Unaona upumbavu wako ulipo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom