Brilliant internationary
JF-Expert Member
- Feb 8, 2017
- 301
- 193
Hali ya sintofaha inayoendelea wilaya ya nachingwea ya kuhakiki mikorosho na wauza korosho
Mtu mmoja aliitwa siku ya jumatatu apeleke risiti zake zote alizouzia korosho alipofika ofisi ya mkuu wa wilaya wakabaini korosho zile zilikuwa zake sasa wakabadilisha gia wakamtuma hati za mashamba yake. akawaamelekapeleka hizo hati sasa wamemtuma bwana na bibi waliyo muuzia hayo mashamba kinachosemekana wanaweza kukutuma hata majira wanne kila shamba.
Hapa hoja yangu siyo kupeleka hivyo vitu hoja nijinsi gani huyu mkulima mbaye sasa hiv amecharara kiasi chakutosha atakvyo wasafirisha watu zaidi ya ishirin na nne kwenda kwa mkuu wa wilaya ikiwa nauli nizaidi ya elfu kumi hapo mtu hajala wakati mwingine usafiri umuachele awagalimikie kulala sasa hii kama sikumuumiza mkulima nin? Au kama wanahitaji kudhurumu kwa nguvu waseme wachukue hizo korosho bure.make walipowafikisha wakuli ni hali mbaya na kwanini Nachingwea tu au huku ni nchi nyingine majirani zao Ruangwa haya hayapo sasa kama kweli serikari inataka kumsaidia mkulima iingilie kati swala hili
Mtu mmoja aliitwa siku ya jumatatu apeleke risiti zake zote alizouzia korosho alipofika ofisi ya mkuu wa wilaya wakabaini korosho zile zilikuwa zake sasa wakabadilisha gia wakamtuma hati za mashamba yake. akawaamelekapeleka hizo hati sasa wamemtuma bwana na bibi waliyo muuzia hayo mashamba kinachosemekana wanaweza kukutuma hata majira wanne kila shamba.
Hapa hoja yangu siyo kupeleka hivyo vitu hoja nijinsi gani huyu mkulima mbaye sasa hiv amecharara kiasi chakutosha atakvyo wasafirisha watu zaidi ya ishirin na nne kwenda kwa mkuu wa wilaya ikiwa nauli nizaidi ya elfu kumi hapo mtu hajala wakati mwingine usafiri umuachele awagalimikie kulala sasa hii kama sikumuumiza mkulima nin? Au kama wanahitaji kudhurumu kwa nguvu waseme wachukue hizo korosho bure.make walipowafikisha wakuli ni hali mbaya na kwanini Nachingwea tu au huku ni nchi nyingine majirani zao Ruangwa haya hayapo sasa kama kweli serikari inataka kumsaidia mkulima iingilie kati swala hili