Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,391
- 39,484
Bila ya shaka mmeanza kuona pembeni kuna sanduku la Kura. Swali la Msingi ni kuwa Kuendelea na habari binafsi za ngono za viongozi ambazo hazihusishi uvunjaji wa sheria au kuingilia utendaji wao wa kazi hapa JF. Chukua msimamo na kura za wengi basi ndio wapewe na uamuzi wao uheshimiwe. Kwa vile JF ni eneo la demokrasia ambapo panastahili kuwa na heshima yake basi tuamue suala hili kwa kupiga kura na uamuzi wowote wa walio wengi uheshimiwe.
M. M
M. M