Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 5,277
- 7,953
Kaah Malcom X usimfananishe na vitu vya HOVYOYa mdude ndio alivyokuwa Malcom x katika umri wake. Inabidi kufundwa kujua namna ya kufanya harakati wakati uko huru
Kaah Malcom X usimfananishe na vitu vya HOVYOYa mdude ndio alivyokuwa Malcom x katika umri wake. Inabidi kufundwa kujua namna ya kufanya harakati wakati uko huru
Hujui historia yake. Alishawahi kuwa mwizi na mkolofi akiwa mdogo sema alikuwa na usubutu na kubadikaKaah Malcom X usimfananishe na vitu vya HOVYO
Unatumia kiungo gani kufikirli?Kwani kwa mujibu wa CHADEMA kuna mambo yoyote yaliwahi kubadilika na kuwa mazuri ?
Wa hovyo ni wewe unayefikiri mwanahatakati wa USA ni bora kuliko wa Tanzania.Kaah Malcom X usimfananishe na vitu vya HOVYO
Wanabuluzwa wanakosa nafasi ya kufikiri kwa usahihiCDM walikosea ku apply principle ya "One Size Fits All". Walipaswa wakae chini na wataalamu wa Siasa za vyama. Watahmini miaka 10 nyuma walifanya nini na walikwama wapi? Then hii Serikali ya SAMIA ni ya namna gani na na ni vipi wanapaswa kukabiliana nayo.
Kama kweli Mbowe anaweza kumpandisha MDUDE CHADEMA akiwa ametoka jela ya miezi 10, na kumtukana Rais SSH, huwezi kunishawishi kuwa Chama kina Ma STRATEGISTS. Kinapuyanga kwa matukio.
Hakuna mtu mwenye akili na hekima atakikubali CDM
Hivi kichwa cha Mdude unakijua au unakisomea kwenye social media? Yule sycophantHujui historia yake. Alishawahi kuwa mwizi na mkolofi akiwa mdogo sema alikuwa na usubutu na kubadika
Mimi wa HOVYO wewe ni too sweet to be consumed. Haya vua uliweWa hovyo ni wewe unayefikiri mwanahatakati wa USA ni bora kuliko wa Tanzania.
Garbage thinker!
Basi Malcom humjui kabisa weweHivi kichwa cha Mdude unakijua au unakisomea kwenye social media? Yule sycophant