Kama NEC ingemtangaza Dr Slaa mshindi JK angefanya kama Gbagbo

Zak Malang

JF-Expert Member
Dec 30, 2008
5,404
233


Hebu tujaribu kufanya hypothesis kidogo. Hypothesis huruhusiwa iwapo kunatokea mtiririko wa matukio ambayo misingi yake inafanana.

Iwapo Lewis Makame – mwenyekiti wa NEC angekuwa amejaliawa ujasiri, uadilifu na nguvu na kuwa mkweli – na akamtangaza Dr Slaa kuwa ndiye mshindi wa urais katika uchaguzi uliyopita, uhakika ni kwamba JK na genge lake wangemnyang’anya Dr Slaa ushindi, kwa staili ya Gbagbo.

Mimi nadhani hapo hakuna mjadala:

– Kwani Tanzania ni nchi ya Kiafrika ambayo kamwe haimo katika nchi zile zenye kufanya chaguzi za haki.
– Tumeona jinsi CCM walivyonyang’anya ushindi katika majimbo kadha ya Ubunge, tena bila hata ya aibu!
– Tumeona chaguzi za umeya zinavyohujumiwa kavu kavu!
– Tumeona jinsi Tido alivyohujumiwa eti tu kwa kuonekana kutenda haki kwa vyama vya upinzani!

Sasa katika hali ya namna hii, CCM kweli ingekubali Dr Slaa kuapishwa?
 


Hebu tujaribu kufanya hypothesis kidogo. Hypothesis huruhusiwa iwapo kunatokea mtiririko wa matukio ambayo misingi yake inafanana.

Iwapo Lewis Makame – mwenyekiti wa NEC angekuwa amejaliawa ujasiri, uadilifu na nguvu na kuwa mkweli – na akamtangaza Dr Slaa kuwa ndiye mshindi wa urais katika uchaguzi uliyopita, uhakika ni kwamba JK na genge lake wangemnyang'anya Dr Slaa ushindi, kwa staili ya Gbagbo.

Mimi nadhani hapo hakuna mjadala:

– Kwani Tanzania ni nchi ya Kiafrika ambayo kamwe haimo katika nchi zile zenye kufanya chaguzi za haki.
– Tumeona jinsi CCM walivyonyang'anya ushindi katika majimbo kadha ya Ubunge, tena bila hata ya aibu!
– Tumeona chaguzi za umeya zinavyohujumiwa kavu kavu!
– Tumeona jinsi Tido alivyohujumiwa eti tu kwa kuonekana kutenda haki kwa vyama vya upinzani!

Sasa katika hali ya namna hii, CCM kweli ingekubali Dr Slaa kuapishwa?


Hivi hilo lina mjadala? Itakuwa ni "Miafrika in action!"

Katika makala yake katika East African wiki iliyopita Jenerali Ulimwengu alisema: "Ingawa nchi za Kiafrika zinaonekana kushindwa kwa mengi sana, lakini kuna hili la wizi wa kura ndiyo zinaonekana kupata ufanisi mkubwa."
 
Asingeweza maana Dr Slaa aliwahi kutamka wazi mbele za wananchi kwamba nusu ya usalama wa taifa wanaripoti kwake hivyo wangeligawana nchi nusu angelitawala JK na nusu nyengine Dr Slaa
 


Hebu tujaribu kufanya hypothesis kidogo. Hypothesis huruhusiwa iwapo kunatokea mtiririko wa matukio ambayo misingi yake inafanana.

Iwapo Lewis Makame – mwenyekiti wa NEC angekuwa amejaliawa ujasiri, uadilifu na nguvu na kuwa mkweli – na akamtangaza Dr Slaa kuwa ndiye mshindi wa urais katika uchaguzi uliyopita, uhakika ni kwamba JK na genge lake wangemnyang'anya Dr Slaa ushindi, kwa staili ya Gbagbo.

Mimi nadhani hapo hakuna mjadala:

– Kwani Tanzania ni nchi ya Kiafrika ambayo kamwe haimo katika nchi zile zenye kufanya chaguzi za haki.
– Tumeona jinsi CCM walivyonyang'anya ushindi katika majimbo kadha ya Ubunge, tena bila hata ya aibu!
– Tumeona chaguzi za umeya zinavyohujumiwa kavu kavu!
– Tumeona jinsi Tido alivyohujumiwa eti tu kwa kuonekana kutenda haki kwa vyama vya upinzani!

Sasa katika hali ya namna hii, CCM kweli ingekubali Dr Slaa kuapishwa?

Hizo ni ndoto, Slaa asingeweza kushinda Urais, ameshindwa kwenye uchaguzi ulio huru na wa haki, ndio maana jumuiya za kimataifa zimempuuza kelele zake na kumuona hana akili timamu, imebidi awe mpole tu kwa kuona aibu ya kushindwa !!! Teh Teh Teh
 
Hizo ni ndoto, Slaa asingeweza kushinda Urais, ameshindwa kwenye uchaguzi ulio huru na wa haki, ndio maana jumuiya za kimataifa zimempuuza kelele zake na kumuona hana akili timamu, imebidi awe mpole tu kwa kuona aibu ya kushindwa !!! Teh Teh Teh

Nina hakika hujanielewa kwani sikusema Slaa ameshinda. Nilichokisema ni hypothesis -- yaani iwapo Slaa angeshinda na NEC kumtangaza (au kujitayarisha kumtangaza Slaa kuwa mshindi) -- jee JK angekubali Slaa aapishwe? Si angenyang'anya ushindi tu kama vile Gbagbo?

Hapo mwanzo nimetoa mchanganuo wa matukio kwa nini JK na genge lake wangeweza kabisa kufanya kitu kama hicho -- yaani kumnyang'snya ushindi Dr Slaa.
 
Nina hakika hujanielewa kwani sikusema Slaa ameshinda. Nilichokisema ni hypothesis -- yaani iwapo Slaa angeshinda na NEC kumtangaza (au kujitayarisha kumtangaza Slaa kuwa mshindi) -- jee JK angekubali Slaa aapishwe? Si angenyang'anya ushindi tu kama vile Gbagbo?

Hapo mwanzo nimetoa mchanganuo wa matukio kwa nini JK na genge lake wangeweza kabisa kufanya kitu kama hicho -- yaani kumnyang'snya ushindi Dr Slaa.

Kisingetokea hicho kitu, kwani kwa CCM ushindi ni lazima !
 
Back
Top Bottom