Elections 2010 Kama ndo ivi chadema isiungane na wapinzani rejareja!

Gsana

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
4,383
1,321
Mara nyingi tulidhani ingekuwa vema Chadema na upinzani kuungana,kweli hatukuona mbali. Kutokana na mambo yalivo katika matokeo, ccm,chadema na cuf vinaonekana. Ila cuf ina kura 1,ccm kura 400, chadema kura 705, ii imeonekana katika vituo vingi sana. Kwa iyo wangeungana wangeongeza kura 1, sipendi tena kutoa hoja za kuunganisha upinzani,nawasilisha tujadili baada ya matokeo yote ya mwaka 2010.
 
Watanzania, naomba sana tuache fikra hizi za choyo... hizi ndizo zilizofikisha Tanzania hapa tulipo

ni fikra hizihizi mgando ndizo zinazosababisha tushindwe biashara, afya nk... huu ni uchoyo na mbolea nzuri ya ufisadi...

CHADEMA, ungana na yeyote anayependa maendeleo ya nchi hata kama ni CCM.... lets build our country in peace, harmony and UNIT

Matokeo rasmi hayajatoka, we havent heard any news from remote constituents, zanzibar etc....

Let me preach to all ya to ignore Gama's motive... it is ratehr disintegrating our spirit
 
Watanzania, naomba sana tusche fikra hizi za choyo... hizi ndizo zilizofikisha Tanzania hapa tulipo

ni fikra hizihizi mgando ndizo zinazosababisha tushindwe biashara, afya nk... huu ni uchoyo na mbolea nzuri ya ufisadi...

CHADEMA, ungana na yeyote anayependa maendeleo ya nchi hata kama ni CCM.... lets build our country in peace, harmony and UNIT

Let me preach to all ya to ignore Gama's motive... it is ratehr disintegrating our spirit

TUPO PAMOJA:yield::yield:
 
Watanzania, naomba sana tusche fikra hizi za choyo... hizi ndizo zilizofikisha Tanzania hapa tulipo

ni fikra hizihizi mgando ndizo zinazosababisha tushindwe biashara, afya nk... huu ni uchoyo na mbolea nzuri ya ufisadi...

CHADEMA, ungana na yeyote anayependa maendeleo ya nchi hata kama ni CCM.... lets build our country in peace, harmony and UNIT

Let me preach to all ya to ignore Gama's motive... it is ratehr disintegrating our spirit

Thanx mkuuu!
 
Mara nyingi tulidhani ingekuwa vema Chadema na upinzani kuungana,kweli hatukuona mbali. Kutokana na mambo yalivo katika matokeo, ccm,chadema na cuf vinaonekana. Ila cuf ina kura 1,ccm kura 400, chadema kura 705, ii imeonekana katika vituo vingi sana. Kwa iyo wangeungana wangeongeza kura 1, sipendi tena kutoa hoja za kuunganisha upinzani,nawasilisha tujadili baada ya matokeo yote ya mwaka 2010.
naunga mkono hoja
wapinzani hawa rejareja waliungwa mkono na chadema hapo awali lakini hawakutaka tena kuipa chapuo.
Mkuu ACID na wengine, msidhani ni gharama nyepesi vyama kuungana kwa sheria na katiba ya bongo. Wametofautiana kisera. tunataka heshima ya nchi irudi kwanza ndipo kuungana baadaye
 
Kijana usifanye mzaha,mafisadi ndo nyie hamna muda wa kufikiria mnakimbilia kujibu! Mi nasema wasiungane katika kampeni kuingia ikulu maana ukiangalia vyama pinzani katika vituo zaidi ya 80 niliyoona cuf wana kura si zaidi ya 4, wakati ppt,nccr,nk hawana hata kura moja,sasa unategemea kuungana ili iweje? Wangeze kura sifuri? Mbona unakuwa kilaza sana! Alaf eti...ata wakiungana na ccm poa tu!...ivi itikadi na sera zao zinaendana?ivi chadema na ccm wanaweza kuungana! Ama kweli hata ukiweka mageneous pamoja bado utapata kilaza ndani yake. Si mpaka upewe zawadi ya phd kujua ninachomaanisha. Nasisitiza kwa matokeo ya awali,hamna aja ya upinzani kuunganisha nguvu. Angalia takwimu Tz bara,analyse,Lete hoja usikurupuke kujibu,sawa Tindikali?
 
Back
Top Bottom