harakat
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 2,888
- 1,347
Italia ,Ugiriki na Nchi nyingine za ulaya ambazo huwa tunaziita Nchi wahisani
zina hali mbaya sana kiuchumi sasa sijui kama sisi ambao tunawategemea
wao kwa misaada kama tutatoboa na ishu zetu za kifisadi au itakua kimeo tu?
Wasiwasi wangu ni kwamba kama waziri mkuu wa Italia amekubali kujiuzulu
kwa nini viongozi wetu wasfanye hivyo kama wameshindwa hata kutokomeza
ufisadi unaoonekana wazi je wataweza uchumi huu unaodorora?
Nchi imekopa fedha nyingi kutoka kwenye Benk za kibiashara kama ilivyo
kwa Ugiriki na Italia ambazo zenyewe zina limitation sijui sisi mwisho
wa ukopaji ni kuuza Nchi au ni trilion ngapi na hizo trilion ni za madafu au Dola?
NAWASILISHA........................
zina hali mbaya sana kiuchumi sasa sijui kama sisi ambao tunawategemea
wao kwa misaada kama tutatoboa na ishu zetu za kifisadi au itakua kimeo tu?
Wasiwasi wangu ni kwamba kama waziri mkuu wa Italia amekubali kujiuzulu
kwa nini viongozi wetu wasfanye hivyo kama wameshindwa hata kutokomeza
ufisadi unaoonekana wazi je wataweza uchumi huu unaodorora?
Nchi imekopa fedha nyingi kutoka kwenye Benk za kibiashara kama ilivyo
kwa Ugiriki na Italia ambazo zenyewe zina limitation sijui sisi mwisho
wa ukopaji ni kuuza Nchi au ni trilion ngapi na hizo trilion ni za madafu au Dola?
NAWASILISHA........................