KAMA NAWAONA VILE WAPENDA KAVU KAVU

RASCO BOY

JF-Expert Member
Jul 29, 2018
428
485
Biashara ya hawa jamaa imefikia hapa wanadhani sasa ni muda mwafaka wa kuwashawishi watu wengi zaidi kuzikimbilia dawa hizi wafanyapo ngono..Uenda mamilioni ya watu wakafulika kuyanunua ili tu kujiepusha na maambukizi ya HIV ni wazi watatengeneza mamilioni ya fedha kwa kuwa kila mtu ataanza kumeza hata kama sio POSITIVE ili mradi tu kujikinga na protein 24 asiwe HIV
FB_IMG_1536399678955.jpg
 
Back
Top Bottom