msumeno
JF-Expert Member
- Aug 3, 2009
- 2,827
- 1,729
Sipati Picha Siku matokeo ya Uchaguzi yatakapo tangazwa na tume ya uchaguzi mwaka 2015.
Najiandaa kwa kauli nilizozizoea kama hatumtambui, hatukubali,, tunakwenda kwa wananchi na kauli kama hizo,maana sioni maadalizi murua yenye malengo ya kubadili dola iliyopo.
Heri mh. Lipumba yeye kashazoea.
Najiandaa kwa kauli nilizozizoea kama hatumtambui, hatukubali,, tunakwenda kwa wananchi na kauli kama hizo,maana sioni maadalizi murua yenye malengo ya kubadili dola iliyopo.
Heri mh. Lipumba yeye kashazoea.