Karibu timu no kitambi + kubana bajeti + punguza safari za chooni + spidi ya haraka + nguvu za kiumeni + uondoe sumu mwilini.daaah rafiki yangu kili nikiamka asubuhi lazima nijiangalie kwa kioo, maana naona tayari kitu kimejipa! kitambi hichoo
kwenye nguvu za kiume ndo hatari zaidiKaribu timu no kitambi + kubana bajeti + punguza safari za chooni + spidi ya haraka + nguvu za kiumeni + uondoe sumu mwilini.
mmh! wanakimbiaga mchezo, au baby tupumzike kidogoUkinywa hiyo,jogoo anawika all the time.
62kg ni kilo za watahiniwa wa Hon. Lundenga!Una roho ngumu,mi kg 62 bado najiona mzito.
Uko vizuri aisee, hadi nakutamania. Unaota kitambi usawa huu wa Magufuli?,Huogopi matumbuzi?daaah rafiki yangu kili nikiamka asubuhi lazima nijiangalie kwa kioo, maana naona tayari kitu kimejipa! kitambi hichoo
mimi nina 95 ngoja niaze virobaUna roho ngumu,mi kg 62 bado najiona mzito.
mimi naelekea 100 kwa sasa nipo 9562kg ni kilo za watahiniwa wa Hon. Lundenga!
mimi nina 95 ngoja niaze viroba
Piga msosi Madam achana na kelele za madaktari. Tumeona wembamba kabisa wana bp na visukari. No formula ya magonjwamimi naelekea 100 kwa sasa nipo 95
sawa mkuu ngoja nile kuku hapaPiga msosi Madam achana na kelele za madaktari. Tumeona wembamba kabisa wana bp na visukari. No formula ya magonjwa