Kama na mwaka huu hakuoi basi we jua hakuoi tena na utazeekea kwenu

juvenile davis

JF-Expert Member
Apr 13, 2015
4,752
4,449
Wadada wengi siku hizi wanapenda harusi sana.na mwishowe wanaishia kuzalishwa au kuzeekea makwao au kuolewa na wanaume ambao ni sawa na baba zao na mala nyingi wanaume waliowazidi umri ni wale walioachana na wake zao au ni wajane(wamefiwa na wake zao).sasa kama wewe mwanamke hadi leo upo na mahusiano na unaingia mwaka wa pili na jamaa hata dalili za kujulikana kwenu hana basi andika maumivu,na kama una miaka 28au zaidi na huna hata mwanaume anayeeleweka basi andika maumivu,jiandae kuolewa na mzee tu.kimsingi kama una mpenzi huu mwaka sasa basi anza kujimuvuzisha kwake we mwenyewe,leo unapeleka gauni ,kesho skin jeans mwisho unapeleka begi.na kama una mwanaume ambaye anakupeleka lodge kila mnapoonana faragha,basi ujue hapo hakuna mwanaume ,huyo hana future na anakaa kwao,achana nae na ujue hakuoi.na hayo mambo yenu ya kuchagua wanaume as if nyie ndio waoaji inabidi muache.unataka mwanaume mrefu,mweupe,mwenye gari,nyumba,na pesa na kifua kipana,kwani wewe ndio unaeoa? Inabidi muuanze mwaka kwa akili mpya,lazimisha bwana ako akuoe au jipeleke mwenyewe kabla hujaolewa na mzee.kumbuka wanaume hatuzeeki
 
Mwanamke above 28 Ataoa yeye,tena kama hajitunzi ndio duh anakua ashakua m'bibi.
Wakwangu huwa namsisitiza mazoezi ili tuzeeke pamoja asini overtake uzee,....manake wenzetu kwa kuchoka mapema! mimi niwe kijana yeye kashachoka hata kwenda ku part nae niogope!!!!
 
Nawaonea huruma wadada nanyie itabidi muanze kutongoza sasa na kutoa mahari kwa vijana wanao jifanya hawaja jipanga mpange ili akuowe usimsubiri
 
kwani lazima mwanamke awe na umri maalumu wa kuolewa? hata mwanamke anatakiwa ajipange kimaisha ili aweze kupambana na majukumu ya familia. Mawazo yakusema mwanamke chini ya miaka 28 awe ameolewa nimazo finyu sana. Mwanamke ni mtu kamili ana maamuzi ya kuchagua mwanaume anaye mtaka kwa wakati anaotaka ,na si kweli kwamba mwanamke anasubiri kutongozwa kwani hakuna kinachomzua kutongoza .Mwanamke sio bidhaa.
 
Nawaonea huruma wadada nanyie itabidi muanze kutongoza sasa na kutoa mahari kwa vijana wanao jifanya hawaja jipanga mpange ili akuowe usimsubiri
Unamuonea huruma nani wapo wadada waliojipanga vizuri na maisha, wamewatongoza wanaume wanaowata na wanaishi nao vizuri .Huyo unayemuonea huruma unakuta hana huo mpango wa kuolewa wewe unakaa kuumiza kichwa. Kweli Afrika tunamatazo mengi.
 
kwani lazima mwanamke awe na umri maalumu wa kuolewa? hata mwanamke anatakiwa ajipange kimaisha ili aweze kupambana na majukumu ya familia. Mawazo yakusema mwanamke chini ya miaka 28 awe ameolewa nimazo finyu sana. Mwanamke ni mtu kamili ana maamuzi ya kuchagua mwanaume anaye mtaka kwa wakati anaotaka ,na si kweli kwamba mwanamke anasubiri kutongozwa kwani hakuna kinachomzua kutongoza .Mwanamke sio bidhaa.
Tatzo watu wanaish kwa kukalili....
 
Hii issue sio nyepesi kama mnavyodhani, wadada wenzangu mnanielewa. Kama ni mwanamke unayejielewa, huwezi kwenda kumtongoza mwanaume, utaolewa naye lakini utajutraa, atakula mpaka machangu.
Jambo la msingi tu ni kuondoa nyodo na kuingia kwenye mahusiano na mtu ambaye yuko tayari (able and willing) kuoa
 
Mwanamke above 28 Ataoa yeye,tena kama hajitunzi ndio duh anakua ashakua m'bibi.
Wakwangu huwa namsisitiza mazoezi ili tuzeeke pamoja asini overtake uzee,....manake wenzetu kwa kuchoka mapema! mimi niwe kijana yeye kashachoka hata kwenda ku part nae niogope!!!!
wanaume tuna dhambi sana
 
Wadada wengi siku hizi wanapenda harusi sana.na mwishowe wanaishia kuzalishwa au kuzeekea makwao au kuolewa na wanaume ambao ni sawa na baba zao na mala nyingi wanaume waliowazidi umri ni wale walioachana na wake zao au ni wajane(wamefiwa na wake zao).sasa kama wewe mwanamke hadi leo upo na mahusiano na unaingia mwaka wa pili na jamaa hata dalili za kujulikana kwenu hana basi andika maumivu,na kama una miaka 28au zaidi na huna hata mwanaume anayeeleweka basi andika maumivu,jiandae kuolewa na mzee tu.kimsingi kama una mpenzi huu mwaka sasa basi anza kujimuvuzisha kwake we mwenyewe,leo unapeleka gauni ,kesho skin jeans mwisho unapeleka begi.na kama una mwanaume ambaye anakupeleka lodge kila mnapoonana faragha,basi ujue hapo hakuna mwanaume ,huyo hana future na anakaa kwao,achana nae na ujue hakuoi.na hayo mambo yenu ya kuchagua wanaume as if nyie ndio waoaji inabidi muache.unataka mwanaume mrefu,mweupe,mwenye gari,nyumba,na pesa na kifua kipana,kwani wewe ndio unaeoa? Inabidi muuanze mwaka kwa akili mpya,lazimisha bwana ako akuoe au jipeleke mwenyewe kabla hujaolewa na mzee.kumbuka wanaume hatuzeeki
haya sawa
 
Kwani ndoa lazima? Yaani hii ndo imekua sababu mtu hata haumpendi anatoa vitisho utazeekea nyumbani. Kwani ukizeekea nyumbani kuna dhambi gani?wa kuolewa aolewe wa kuwa single mom awe. Ukiwa na mwanaume na hagusii ndoa jua wewe ni mchepuko wa kudumu ila umkimforce tu ndoa utaiona ndoano.
 
kuoa au kuolewa siyo muhimu katika maisha ila kutafta pesa ndio muhimu katika maisha,pgeni kazi kwanza mapenzi ndo yafuate
 
Back
Top Bottom