Kipindi Mh.Ali Hassan Mwinyi akihudumu kama waziri wa mambo ya ndani palitokea na tukio la jeshi la polisi kufanya torturing kwa watuhumiwa wa mauaji ya vikongwe..kwa kosa tu moja la torturing kwa watuhumiwa mzee mwinyi alijiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani
Turudi kwa ndugu Mwigulu tokea ahudumu wizara ya mambo ya ndani mauaji kedekede yamejitokeza ,tumeshudia cases nyingi za uvunjifu wa haki za binaadamu zikifanywa na jeshi la police tukianza kuorodhesha tutakesha lakini ndugu waziri kama kaziba masikio.
Kama mwinyi tukio moja tu kufanyika alijiuzulu kwanini ndugu Mwigulu matukio lukuki yamefanyika chini yake asifanye ungwana kujiuzulu
Turudi kwa ndugu Mwigulu tokea ahudumu wizara ya mambo ya ndani mauaji kedekede yamejitokeza ,tumeshudia cases nyingi za uvunjifu wa haki za binaadamu zikifanywa na jeshi la police tukianza kuorodhesha tutakesha lakini ndugu waziri kama kaziba masikio.
Kama mwinyi tukio moja tu kufanyika alijiuzulu kwanini ndugu Mwigulu matukio lukuki yamefanyika chini yake asifanye ungwana kujiuzulu