johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,792
- 141,685
Natafakari tu zile mbwembwe za Mh Mwigulu na mwenzie Kangi Lugola kuivaa bendera ya taifa kama kielelezo cha uzalendo uliotukuka.
Kwa bahati nzuri wawili hawa walipitishwa katika kipimo kimoja kuthibitisha uzalendo wao na wote wamefeli na hawaivai tena ile bendera ya taifa wamebakia kuikodolea macho tu ikiwa kwenye mlingoti.
Kwa namna Mwigulu na Lugola walivyofeli pale Wizara ya mambo ya ndani sishangazwi kabisa na kauli za Mawaziri wengine Dr Kigwangala na Prof Kabudi kwamba kuna "nyakati" majaribu yaliwazidi wakaomba kikombe kiwaupuke lakini Mungu akawapa ujasili wakasonga mbele.
Jumamosi njema.
Maendeleo hayana vyama!
Kwa bahati nzuri wawili hawa walipitishwa katika kipimo kimoja kuthibitisha uzalendo wao na wote wamefeli na hawaivai tena ile bendera ya taifa wamebakia kuikodolea macho tu ikiwa kwenye mlingoti.
Kwa namna Mwigulu na Lugola walivyofeli pale Wizara ya mambo ya ndani sishangazwi kabisa na kauli za Mawaziri wengine Dr Kigwangala na Prof Kabudi kwamba kuna "nyakati" majaribu yaliwazidi wakaomba kikombe kiwaupuke lakini Mungu akawapa ujasili wakasonga mbele.
Jumamosi njema.
Maendeleo hayana vyama!