Kwa hiyo kama afya si suala la Muungano maana yake mtu wa Zanzibar akidhuru afya ya mwenzake na wa bara akafanya hivyo hivyo wa bara hana kosa ila wa Zanzibar ndio kafanya kosa? Kwani afya ya mtanganyika ni tofauti na afya ya mzanzibari?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.