Jabakeke
JF-Expert Member
- Apr 18, 2019
- 386
- 355
Hakuna sababu ya kuhangaika sijui kutumia mkuyati, sijui vumbi la Bongo kwa ajili ya kumridhisha mwanamke,anayetakiwa kuhangaika ni huyohuyo mwenye tatizo la kuchelewa kufika kunako.
Nilihangaika sana nikajiona dhaifu ,niliyenaye Sasa hivi sipigi pampu zaidi ya sita anakuwa tayari ameanza kuniita majina mazuri hatimaye usingizi wa pono,mtakufa kizembe na hizo dawa za kuongeza nguvu nk ukiona anachelelewa kufika kunako mtafutie dawa yeye mwenye tatizo sio wewe usiekuwa na tatizo.
Nilihangaika sana nikajiona dhaifu ,niliyenaye Sasa hivi sipigi pampu zaidi ya sita anakuwa tayari ameanza kuniita majina mazuri hatimaye usingizi wa pono,mtakufa kizembe na hizo dawa za kuongeza nguvu nk ukiona anachelelewa kufika kunako mtafutie dawa yeye mwenye tatizo sio wewe usiekuwa na tatizo.