Papa D
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 753
- 182
Majuzi kwenye habari ilielezwa kuwa Mwalimu aliyemfundisha Nyerere yu hai na ana umri wa miaka 122. World geinness book inaonyesha mtu mwenye umri mkubwa aliye hai hadi hii leo ana miaka 115 na siku 28[today's 24/09/2011 record]!
Kwa nini Serikali ya ccm isimfanyie mpango kwa kukusanya kumbukumbu zake ili aingizwe kwenye hicho kitabu angalau nasi jina la nchi yetu alitangaze?
HEBU JAMANI TUJADILI NAMNA YA KUMSAIDIA HUYU MZEE ANGALAU AAMBULIE HIYO HESHIMA YA KUTAMBULIWA NA DUNIA NZIMA!!
mNALIONAJE HILI?
Kwa nini Serikali ya ccm isimfanyie mpango kwa kukusanya kumbukumbu zake ili aingizwe kwenye hicho kitabu angalau nasi jina la nchi yetu alitangaze?
HEBU JAMANI TUJADILI NAMNA YA KUMSAIDIA HUYU MZEE ANGALAU AAMBULIE HIYO HESHIMA YA KUTAMBULIWA NA DUNIA NZIMA!!
mNALIONAJE HILI?