Vijana wa nchi hii yatupasa tuungane pasipo kujali vyama vyetu tupiganie haki zetu kwa umoja wetu.
Pamoja na utofauti wa itikadi zetu lakini kuna masuala yafaa tupaze sauti kwa pamoja
Inakera na kuudhi kuona vijana tunakosa ajira halafu wastaafu wakiteuliwa kushika nyadhifa kila uchwao. Sitaki kutaja majina lakini kila mmoja wetu afuatilie.
Funga kazi ni uteuzi wa huyu mwalimu wa mhe Rais SSH. Kama Rais SSH ana miaka 62 vipi umri wa mwalimu wake?? Vijana ni lini tutateuliwa??
Mhe Samia alikuwa form 2 mwaka 1974
Pamoja na utofauti wa itikadi zetu lakini kuna masuala yafaa tupaze sauti kwa pamoja
Inakera na kuudhi kuona vijana tunakosa ajira halafu wastaafu wakiteuliwa kushika nyadhifa kila uchwao. Sitaki kutaja majina lakini kila mmoja wetu afuatilie.
Funga kazi ni uteuzi wa huyu mwalimu wa mhe Rais SSH. Kama Rais SSH ana miaka 62 vipi umri wa mwalimu wake?? Vijana ni lini tutateuliwa??
Mhe Samia alikuwa form 2 mwaka 1974