Kama MWAKYEMBE na MAGUFULI wanafanya uhuni huu basi CCM imedhamiria kuwazika Watanzania!!!

Hizo treni mbili kati kati ya jiji hazina msaada wowote katika kutatua tatizo la msongamano wa magari Dar es salaam, watu wanashabikia na kumfanya Mwakyembe popular bila sababu.

Ifanyike master planning mpya ya usafiri wa umma Dar es salaam na suluhisho ni kuwa na trains za kwenda kasi na trams sio hayo mabehewa ya mwaka 1947.
 
mkuu......unatakiwa kukataza private car mjini lakini ukikataza....lazima uwape watu usafir........so lazima uboreshe usafir....kama ambavyo wanafanya sasa ili siku ukikataza uwe na sababu ya kuwashawishi unaowakataza........so watanzania tusipende kulia muda wote....na kujifanya tunajua kila kitu........hizo ni professional za watu......habu tuwe na subira.....!
 
Ni jambo la kusikitisha na kushangaza kuona Watanzania wanashabikia matukio haya mawili la Basi ziendazo Kasi BRT
(BRT) na uzinduzi wa
Reli kwa Jiji la Dar es Salaam. Mipango hii yote inaongozwa na watu wanaojitambulisha kuwa kuwa wachapa kazi kina Magufuli na Mwakyembe.
Ukweli kwamba ni danganya toto kwa sababu zifuatazo:

1. Tatizo la msongamano wa magari halisababishwi na kuwepo kwa gari za abiria ( public transport) bali ni private cars na maroli.
2. Msongamano huu unaletwa na kwenye junctions( nodes) mf. Ubungo mataa, Shekilango, Njia panda ya Tabata, Buguruni, Magomeni Mapipa,......
na suluhisho ni fly overs.
3. Reli hizi zinaishia pafupi sana na haziondoi au kuzuia watu binafsi kwenda na magari yao.
4. Hakuna parking Dar na watu wengi hubakia barabarani wakizunguka wkt wengine walionao wanafanya issue zilizowaletra mjini.
5. Upanuaji Barabara haupunguzi foleni bali hupunguza urefu wake na kutengeneza foleni fupi yenye mistari mingi ya magari mf. barabara ya Mwenge to Ubungo kupita Mcity.
kwa msisitizo zaidi ni sawa na kuweka maji kwnye mrija wa kunywea soda ukajaa alafu na mengine ukajaza beseni na mtoto akaulizwa maji mengi yako wapi naye akachagua mrija kisa umezidi beseni kwaurefu.

Sasa hela kubwa inayotumika kutengeneza barabara za BRT na Reli ingefanya yafuatayo kama si ufisadi:
  1. kutengeneza barabara zote mbovu za kupunguza msongamano kwemye Barabara ya Moro kwa kiwango cha lami ili kupunguza kufurika kwa magari Morogoro road mf. Barabara ya Kimara na Mbezi to Uwanja wa Ndege, Kimara na Mbezi to Tegeta........
  2. kuwekeza kwenye Fly Overs kwenye mataa yote.
  3. kuboresha na kupanua barabara hasa vituo amabvyo viko barabarani hasa mf. njia ya Tandare.


MUHIMU: wATANZANIA tunapenda kushabikia mambo bila kuyachunguza na sasa tusubiri tuone jinsi hii mipango 2 isivyo na tija bali danganya toto.
Hebu wacha upuuzi wako wa kutaka kutuletea ugomvi wenu huko magambani huku. Mbona unang'ang'ania sana flyovers? Kulikoni? unajua gharama za kujenga flyovers? Au umeona huu mradi haujawapa nafasi ya kufisidi kama mlivyozoea? Sikiliza huyu jamaa ni jembe tena tunakubali mambo yake. Sasa kamwambie aliyokutuma badala ya kujaribu kuhujumu huu mradi ajaribu kufikiria jinsi alivyoshindwa na kupoteza maisha kwenye mradi wake wa njia 3. Sisi tunataka vitu vyenye akili kama hivi na siyo tamaa zenu zisizo kwisha wala majaribio yalioshindwa kama yale ya njia 3. Kwa taarifa yako huu ni mwanzo tu wa kuondoa foleni jiji la dar. Njia ziko nyingi sana. Ukiisha mradi wa Magufuli tu basi wizara moja moja inaanza kuhamia Dodoma. Mtaumia roho zenu kwelikweli :A S angry:
 
Jitihada yoyote ya kupunguza foleni au kero za usafiri inahitaji kupongezwa. Hongera Mwakyembe na watendaji wote waliofanikisha hii treni. Msongamano mkubwa wa njia ya Mandela na Kimara (morogoro rd kuanzia Ubungo) unasababishwa na malori toka bandarini. Njia rahisi ya kuzuia hili ni kuruhusu malori yaanze safari kutoka bandarini kuanzia angalau saa nne usiku. Pia kitengo cha bandari kifanye kazi masaa 24. Hii mbona haihitaji msaada wa Marekani.....au nayo mpaka tuje tuambiwe na consultant?
 
Yeye alianza vibaya uzi wake! alitakiwa kwanza apongeze juhudi zilizofikiwa halafu atoe changamoto zinazoikabili
hiyo secta ya usafiri hapo Dar! lakini kaanza kwa kupayuka na lawama tu, ndio ukaona wanajamii wanamzonga!!!

"Jambo usilolijua ni kama usiku wa kiza"
Niliwahi kuandika siku moja humu JF kuhusiana Flyovers na fedha zitakazo tumika.Kiasi fulani naungana na mtoahoja ijapokua kuwepo kwa treni ni sehemu mojawapo ya kupunguza foleni.Mimi kwa leo ntazungumzia sehemu moja sana muhimu ya barabara.

Ikumbukwe kuwa Barabara kuu inayoingia na kutoka DAR ni ya Morogoro.Gari zote zikitoka mikoani ni lazima ziitafute barabara hii kuingia na kutoka.Nilitegemea kabala ya Flyovers serikali ingekuwa imekamilisha ya Bagamoyo ili tupunguze mzigo wa foleni kwa barabara hii,ili magari yanayotokea Arusha,Tanga na Kilimanjaro yaishie Bagamoyo.

Kwenye barabara za Ndani,Nilitegemea kabisa kabla ya Flya overs,barabara za Mbezi masana ,pamoja na ya wazo ziwekwe lami ,na zitokee Kimara Mwisho na Mbezi Mwisho.Hii ingepunguza watu wanaotoka,Bagamoyo,bunju,Tegeta,na wale wa mbezi beach wanaokwenda ,kimara,wasiongeze foleni,Mwenge pamoja na Ubungo.Kwani haiingii akilini hawa wote watoke maeneo yao, waje mwenge ,waende ubungo ndio waende kimara na mbezi,au hata morogoro.Kwani wangeweza kutokea hukohuko pasi kuongeza foleni maeneo ya ubungo na Mwenge.

Pia nilitegemea watu wa Gongo la Mboto,Ukonga na kinyerezi wanaokwenda Mbezi, na kimara, watokee Kinyerezi, kwenda Mbezi mwisho.Kwani hainiingii akilini watu wote hawa waingie Nyerere road,Mandela ,ubungo ndio waanze safari ya kwenda kimara na Mbezi mwisho hadi Morogoro.

Kwa mtizamo wangu Treni inasaidia hasa ikiongezwa mabehewa,kwani nimesikia behewa moja lina uwezo wa kuchukua watu zaidi ya 100,hivyo unakua umepunguza Coaster za kutosha barabarani.Ila kwa Fly overs sikutegemea zianze kutengenezwa kabla ya kutengeneza barabara muhimu zinazounganisha wilaya moja na nyingine.Ili tuwe barabara nyingi zinazoingia na kutosha.

tatizo kubwa ni wanasiasa kupenda sifa za kujijenga wao binafsi badala ya kutumia utaalamu.Hili la barabara zinazoingia na kutoka nilitegemea viongozi wapate fundisho kipindi kile cha mafuliko wakati daraja lilipokatika kule mbezi na hivyo ikawa shida Kuingia Dar.
.
Ni rai yangu kwa watanzania kuacha kushabikia mambo ya kipuuzi kwa itikadi za vyama na kuacha kuangalia mambo ya msingi.

Ni kama Vile EL aliyekuwa mchafu leo hii watu wanaaminishwa ndio kiongozi anaye faa kuiongoza TZ wakati kushindwa kwa serikali hii ni sehemu ya mchango wake kutuletea ******,huku naye akitumia njia zilezile alizomwingiza JK kuingia madarakani,mbaya zaidi kwa rushwa.
 
Ni jambo la kusikitisha na kushangaza kuona Watanzania wanashabikia matukio haya mawili la Basi ziendazo Kasi BRT
(BRT) na uzinduzi wa
Reli kwa Jiji la Dar es Salaam. Mipango hii yote inaongozwa na watu wanaojitambulisha kuwa kuwa wachapa kazi kina Magufuli na Mwakyembe.
Ukweli kwamba ni danganya toto kwa sababu zifuatazo:

1. Tatizo la msongamano wa magari halisababishwi na kuwepo kwa gari za abiria ( public transport) bali ni private cars na maroli.
2. Msongamano huu unaletwa na kwenye junctions( nodes) mf. Ubungo mataa, Shekilango, Njia panda ya Tabata, Buguruni, Magomeni Mapipa,......
na suluhisho ni fly overs.
3. Reli hizi zinaishia pafupi sana na haziondoi au kuzuia watu binafsi kwenda na magari yao.
4. Hakuna parking Dar na watu wengi hubakia barabarani wakizunguka wkt wengine walionao wanafanya issue zilizowaletra mjini.
5. Upanuaji Barabara haupunguzi foleni bali hupunguza urefu wake na kutengeneza foleni fupi yenye mistari mingi ya magari mf. barabara ya Mwenge to Ubungo kupita Mcity.
kwa msisitizo zaidi ni sawa na kuweka maji kwnye mrija wa kunywea soda ukajaa alafu na mengine ukajaza beseni na mtoto akaulizwa maji mengi yako wapi naye akachagua mrija kisa umezidi beseni kwaurefu.

Sasa hela kubwa inayotumika kutengeneza barabara za BRT na Reli ingefanya yafuatayo kama si ufisadi:
  1. kutengeneza barabara zote mbovu za kupunguza msongamano kwemye Barabara ya Moro kwa kiwango cha lami ili kupunguza kufurika kwa magari Morogoro road mf. Barabara ya Kimara na Mbezi to Uwanja wa Ndege, Kimara na Mbezi to Tegeta........
  2. kuwekeza kwenye Fly Overs kwenye mataa yote.
  3. kuboresha na kupanua barabara hasa vituo amabvyo viko barabarani hasa mf. njia ya Tandare.


MUHIMU: wATANZANIA tunapenda kushabikia mambo bila kuyachunguza na sasa tusubiri tuone jinsi hii mipango 2 isivyo na tija bali danganya toto.
Call a spade a spade,jamani hata kma uko na chuki Zako binafsi kwenye ukweli useme tu jamani Ndio ubinadamu,these two are really hard workers amongst the useless lot!
 
Ni jambo la kusikitisha na kushangaza kuona Watanzania wanashabikia matukio haya mawili la Basi ziendazo Kasi BRT
(BRT) na uzinduzi wa
Reli kwa Jiji la Dar es Salaam. Mipango hii yote inaongozwa na watu wanaojitambulisha kuwa kuwa wachapa kazi kina Magufuli na Mwakyembe.
Ukweli kwamba ni danganya toto kwa sababu zifuatazo:

1. Tatizo la msongamano wa magari halisababishwi na kuwepo kwa gari za abiria ( public transport) bali ni private cars na maroli.
2. Msongamano huu unaletwa na kwenye junctions( nodes) mf. Ubungo mataa, Shekilango, Njia panda ya Tabata, Buguruni, Magomeni Mapipa,......
na suluhisho ni fly overs.
3. Reli hizi zinaishia pafupi sana na haziondoi au kuzuia watu binafsi kwenda na magari yao.
4. Hakuna parking Dar na watu wengi hubakia barabarani wakizunguka wkt wengine walionao wanafanya issue zilizowaletra mjini.
5. Upanuaji Barabara haupunguzi foleni bali hupunguza urefu wake na kutengeneza foleni fupi yenye mistari mingi ya magari mf. barabara ya Mwenge to Ubungo kupita Mcity.
kwa msisitizo zaidi ni sawa na kuweka maji kwnye mrija wa kunywea soda ukajaa alafu na mengine ukajaza beseni na mtoto akaulizwa maji mengi yako wapi naye akachagua mrija kisa umezidi beseni kwaurefu.

Sasa hela kubwa inayotumika kutengeneza barabara za BRT na Reli ingefanya yafuatayo kama si ufisadi:
  1. kutengeneza barabara zote mbovu za kupunguza msongamano kwemye Barabara ya Moro kwa kiwango cha lami ili kupunguza kufurika kwa magari Morogoro road mf. Barabara ya Kimara na Mbezi to Uwanja wa Ndege, Kimara na Mbezi to Tegeta........
  2. kuwekeza kwenye Fly Overs kwenye mataa yote.
  3. kuboresha na kupanua barabara hasa vituo amabvyo viko barabarani hasa mf. njia ya Tandare.


MUHIMU: wATANZANIA tunapenda kushabikia mambo bila kuyachunguza na sasa tusubiri tuone jinsi hii mipango 2 isivyo na tija bali danganya toto.

tafadhali tumia kichwa chako kufikiri sio kufugia nywele,toa ***** wako hapa
 
Simple! Ndugu Paul Kijoka amka mapema uende pale ubungo maziwa ukawaeleweshe waTZ wenzio ndani ya treni au wanaosubiri treni kwamba hicho "WANACHOSHABIKIA" ni "UHUNI". Then uje utupe majibu!


Ndugu wazo jema,lakini akienda moja kwa moja na kauli hiyo anaweza dundwa. Vema ktk kwenda kwake nakutafiti atumie hekima na baada ya kupata ukweli atujuze.
 
ukweli ni kwamba mtoa mada umejitahidi sana kuchanganua. lakini mie naona kwa kuanzia amejitahidi sana na lazima tuwe wakweli na sifa zake tumpe. kwani ni mawaziri wangapi ambao wameweza kuwajibika kama hao uliowataja??? ni kweli mabehewa ni yazamani lakini uwezo wa hayo mapya kwa sasa haupo. tangu juzi walipozindua nimekuwa nikilipanda natumia dakika 40 tuu kufika tabata jambo ambalo huko nyuma lilikuwa ni masaa 3 mpaka 3 na nusu. once again hongereni sana mawaziri nyie ambao kiukweli mie nadiriki kusema kwamba nyie ndo viongozi ambao taifa la Tanzania linawahitaji. na si wale wa UPEMBUZI YAKINIFU kila cku....
 
mkuu......unatakiwa kukataza private car mjini lakini ukikataza....lazima uwape watu usafir........so lazima uboreshe usafir....kama ambavyo wanafanya sasa ili siku ukikataza uwe na sababu ya kuwashawishi unaowakataza........so watanzania tusipende kulia muda wote....na kujifanya tunajua kila kitu........hizo ni professional za watu......habu tuwe na subira.

.....

Mkuu, nakuunga mkono lkn hujanielewa kwa sehemu fulani, je, hela ya reli na BRT isingeondoa foleni?
 
Yaani ni vizuri kabla hujapost chochote embu pata ushauri kwa watu wenye akili zaidi yako.Lasivyo unaweza kuonekana chizi
 
Jitihada yoyote ya kupunguza foleni au kero za usafiri inahitaji kupongezwa. Hongera Mwakyembe na watendaji wote waliofanikisha hii treni. Msongamano mkubwa wa njia ya Mandela na Kimara (morogoro rd kuanzia Ubungo) unasababishwa na malori toka bandarini. Njia rahisi ya kuzuia hili ni kuruhusu malori yaanze safari kutoka bandarini kuanzia angalau saa nne usiku. Pia kitengo cha bandari kifanye kazi masaa 24. Hii mbona haihitaji msaada wa Marekani.....au nayo mpaka tuje tuambiwe na consultant?

kumbe unatambua kwamba foleni zinasababishwa na malori,sasa unampongeza vipi mtu ambaye hajatimiza wajibu wake? Siku akianza kufufua reli zetu,ziweze kubeba mizigo mikubwa na kusafirisha abiria kwa gharama nafuu nitampongeza.
 
Hebu wacha upuuzi wako wa kutaka kutuletea ugomvi wenu huko magambani huku. Mbona unang'ang'ania sana flyovers? Kulikoni? unajua gharama za kujenga flyovers? Au umeona huu mradi haujawapa nafasi ya kufisidi kama mlivyozoea? Sikiliza huyu jamaa ni jembe tena tunakubali mambo yake. Sasa kamwambie aliyokutuma badala ya kujaribu kuhujumu huu mradi ajaribu kufikiria jinsi alivyoshindwa na kupoteza maisha kwenye mradi wake wa njia 3. Sisi tunataka vitu vyenye akili kama hivi na siyo tamaa zenu zisizo kwisha wala majaribio yalioshindwa kama yale ya njia 3. Kwa taarifa yako huu ni mwanzo tu wa kuondoa foleni jiji la dar. Njia ziko nyingi sana. Ukiisha mradi wa Magufuli tu basi wizara moja moja inaanza kuhamia Dodoma. Mtaumia roho zenu kwelikweli :A S angry:

Foleni na matatizo ya usafiri wa Dsm hayatapata ufumbuzi chini ya utawala wenye akili ndogo kama huu. Barabara zetu nyingi zimebakia kama walivyoziacha akina Nyerere na Mwinyi wakati mji umezidi kupanuka na wakaazi wa Dsm wakiongezeka maradufu.
 
Ni jambo la kusikitisha na kushangaza kuona Watanzania wanashabikia matukio haya mawili la Basi ziendazo Kasi BRT
(BRT) na uzinduzi wa
Reli kwa Jiji la Dar es Salaam. Mipango hii yote inaongozwa na watu wanaojitambulisha kuwa kuwa wachapa kazi kina Magufuli na Mwakyembe.
Ukweli kwamba ni danganya toto kwa sababu zifuatazo:

1. Tatizo la msongamano wa magari halisababishwi na kuwepo kwa gari za abiria ( public transport) bali ni private cars na maroli.
2. Msongamano huu unaletwa na kwenye junctions( nodes) mf. Ubungo mataa, Shekilango, Njia panda ya Tabata, Buguruni, Magomeni Mapipa,......
na suluhisho ni fly overs.
3. Reli hizi zinaishia pafupi sana na haziondoi au kuzuia watu binafsi kwenda na magari yao.
4. Hakuna parking Dar na watu wengi hubakia barabarani wakizunguka wkt wengine walionao wanafanya issue zilizowaletra mjini.
5. Upanuaji Barabara haupunguzi foleni bali hupunguza urefu wake na kutengeneza foleni fupi yenye mistari mingi ya magari mf. barabara ya Mwenge to Ubungo kupita Mcity.
kwa msisitizo zaidi ni sawa na kuweka maji kwnye mrija wa kunywea soda ukajaa alafu na mengine ukajaza beseni na mtoto akaulizwa maji mengi yako wapi naye akachagua mrija kisa umezidi beseni kwaurefu.

Sasa hela kubwa inayotumika kutengeneza barabara za BRT na Reli ingefanya yafuatayo kama si ufisadi:
  1. kutengeneza barabara zote mbovu za kupunguza msongamano kwemye Barabara ya Moro kwa kiwango cha lami ili kupunguza kufurika kwa magari Morogoro road mf. Barabara ya Kimara na Mbezi to Uwanja wa Ndege, Kimara na Mbezi to Tegeta........
  2. kuwekeza kwenye Fly Overs kwenye mataa yote.
  3. kuboresha na kupanua barabara hasa vituo amabvyo viko barabarani hasa mf. njia ya Tandare.


MUHIMU: wATANZANIA tunapenda kushabikia mambo bila kuyachunguza na sasa tusubiri tuone jinsi hii mipango 2 isivyo na tija bali danganya toto.


Mkuu Kijoka pole sana kwa kushambuliwa na watu ambao are extreme fans wa watu. Kuna msemo wa Kiingereza kuwa "never judge a book by its cover". Hawa 2 personalities Magufuri na Mwakeyembe waliwahi kuwalaghai Watanzania kwa nyakati tofauti. Magufuri became a one eyed man among the blind wakati wa serkali ya awamu ya tatu. He wasn't very briliant or hardworking but as long as his compatriots were struggling with no clear strategy yeye akawa mtu pekee kwa kusimamia ujenzi wa barabara. Na ujenzi wa barabara hauitaji akili sana maana fedha zinatolewa na wafadhili, contractor anakuwepo na consultant as well. Tena pengine wanachaguliwa kwa shinikizo la aliyekupa mkopo na wao wanafanya close monitoring. Designs wanatoa wao. Sasa wewe waziri kwanini ushindwe kusimamia even if remotely. Na pili watu wanasahau kuwa huyu aliyeonekana a king among the blind alifikiri umma wote uko katika usingizi wa pono. Aliuza nyumba za serikali kwa bei ya kutupa. Na leo hubaki anapiga kelele akifikiri tumesahau au anataka atusahaurishe. Bado tunakumbuka and all Mafuri does is primary objective to raise public awareness, brainwash the public, lie and manipulate the public ili tusihoji madudu. Naomba tufanye analysis in East Africa ni nchi gani ambayo costruction costs ziko juu kwa vipimo vilevile na wakati mwingine mkandarasi yuleyule. Kwa kutumia neno uhuni umetumia soft terms sana. ingekuwa mimi ningetumia neno baya mno.

Mwakyembe naye a bird of the same feather. Akitumiwa na walio na personal vendetta alihakikisha anamg'oa Lowasa kwenye wadhifa wa waziri mkuu basi. Yale anayosema walificha kuilinda serikali yanatutesa mpaka hii leo. Hiwezekani mchakato wa manunuzi ya umma unaeleweka na unalindwa kwa sheria, halafu ati waziri mkuu aende kinyume na wanaosimamia sheria wapo, wanaoilinda wapo, aliyemeteua yupo na nchi inaingizwa katika uhuni mbaya kuwahi kushuhudiwa na leo watu wanamwona Mwakyembe shujaa. To me he such a tragic hero. When we analyse interms of value for money, what did we get as a country? Kumlipa DOWANS labda. Halafu kuna kitu ambacho akamati ay Mwakyembe hawakuwahi kukisema, wamiliki wa Richmond walikuwa hawajulikani lakini on daily basis walikuwa wanalipwa. Hizo pesa ziliingia account gani? Kama haikuwa banking transactions ziliwekwa chini ya mkuyu halafu mzimu ukaja ukazitafuna? Leo nakuja na style ya fukuzafukuza wafanyakazi mara bandari, ATC na kwingineko halafu anatutangazia. Wakati wanaajiliwa na kupewa kazi mlitutanganzia? Kama mnawajibishana fanyeni kimyakimya huko. It's non of our business kujua nani kafukuzwa. Leo tunaletewa train, katika karne hii tunadanganywa na scraps na kumabiwa ndio mkombozi wa wanyonge. Wanyonge wapo Dar peke na pale ziendako trains hizo. Hivi ni viini macho
 
Hizo treni mbili kati kati ya jiji hazina msaada wowote katika kutatua tatizo la msongamano wa magari Dar es salaam, watu wanashabikia na kumfanya mwakyembe popular bila sababu, ifanyike master planning mpya ya usafiri wa umma dar es salaam na suluhisho ni kuwa na trains za kwenda kasi na trams sio hayo mabehewa ya mwaka 1947

sasa hizo treni za kasi unadhani wakiamua leo,zinaanza next week?
 
hivi huwa watu wanaelewa maana ya mipango ya mda mfupi na ya mda mrefu? kwa sasa suluhisho la haraka haraka kuwaondolea watu kero ya usafiri ni hili la treni, kama unaishi dar na unafanya kazi posta au kkoo na unatumia daladala utanielewa.
 
Back
Top Bottom