Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
Kwa walioa kuwa jiran na mh wetu ambae kama si mkono wa mungu leo hiia ngekuwa anaitwa mh mwakalebela
najiuliza huyu bwana mechi ya simba na yanga ilipoisha wakahesabu ngawila siku inayofwata akaenda kununua gari
nzuri tu kwa usalama wake atuwezi kuitaja najiuliza simba na yanga ya juzi huyu wambura boniface ametoka na nini
na ngao ya hisana atatoka na nini hope atokuwa limbuken kama mwenzake aliepita kujionyesha onyesha
niceweekend
najiuliza huyu bwana mechi ya simba na yanga ilipoisha wakahesabu ngawila siku inayofwata akaenda kununua gari
nzuri tu kwa usalama wake atuwezi kuitaja najiuliza simba na yanga ya juzi huyu wambura boniface ametoka na nini
na ngao ya hisana atatoka na nini hope atokuwa limbuken kama mwenzake aliepita kujionyesha onyesha
niceweekend