Cynic
JF-Expert Member
- Jan 5, 2009
- 5,144
- 1,648
.... jamaa aliweweseka sana na ni mwoga sana kupambana na challenge. Kama mtakumbuka alipohutubia ...
JK kuweweseka ni kawaida yake.. .. aliweweseka na kuanguka bila hata kuguswa akiutubia jangwani, na kuna wakati alidundwa, akaweweseka na kuanguka chali akihutubia kirumba mwanza. Inatia huruma