mfate42 JF-Expert Member Nov 16, 2014 3,768 4,259 Feb 9, 2021 #1 Kama mshahara haupitii CRDB huruhusiwi kukopa CRDB kwakweli hii sheria mpya itatukimbiza wengi. Hiki kifo cha kujitakia na hakinaga pole.
Kama mshahara haupitii CRDB huruhusiwi kukopa CRDB kwakweli hii sheria mpya itatukimbiza wengi. Hiki kifo cha kujitakia na hakinaga pole.
steveachi JF-Expert Member Nov 7, 2011 9,570 10,275 Feb 9, 2021 #2 Na ndio maana sasa hv wanapitia mdororo mkubwa sana wa kiuchumi hiyo benk,imekosa ubunifu kabisa,itapitwa hata na Mkombozi
Na ndio maana sasa hv wanapitia mdororo mkubwa sana wa kiuchumi hiyo benk,imekosa ubunifu kabisa,itapitwa hata na Mkombozi
Torque vs HP JF-Expert Member Jan 7, 2021 1,769 5,070 Feb 9, 2021 #3 Hii ni sheria mpya ya CRDB au BOT mkuu?
I inungulyamako Member Dec 13, 2020 64 55 Feb 10, 2021 #4 Nasio hiyo tu wanasema bima ya mkopo inalipwa cash ndio unapata mkopo wako