Mwenye kiherehere ni wewe hapoHaha! Tuliza kiherehere ndugu
mashairi bila hela ni kazi bureSasa ni zamu ya moyo wangu,maana figo na mapafu ulishaviteka!
Penzi lako ni kama hewa safi ya oxygen, inayopita katika viunga vya mwili na kuupa uhai uliotukuka!
Ucheshi na ukarimu wako ni tuzo tosha katika maisha yangu, hata kilio chako kimekuwa ni ngazi ya kukomaa kwa mapenzi yetu!
Tone la wivu wako kwangu ni kama ukuta wa babeli, siponyoki na wala sichoropoki. Naahidi kukulinda, kukutunza na kukupenda kwa maana naijua kiu yako kwangu.
Hata seli za mwili wangu husheherekea pindi zisikiapo sauti yako tamu. Moyo wangu nao hudunda kwa kufuata mapigo ya moyo wako, kwani mioyo hii miwili hutambuana kama watambuanavyo wapemba kwa vilemba!
Sina mengi laaziz ila usije kuongeza kizizi.😉
Sasa ni zamu ya moyo wangu,maana figo na mapafu ulishaviteka!
Penzi lako ni kama hewa safi ya oxygen, inayopita katika viunga vya mwili na kuupa uhai uliotukuka!
Ucheshi na ukarimu wako ni tuzo tosha katika maisha yangu, hata kilio chako kimekuwa ni ngazi ya kukomaa kwa mapenzi yetu!
Tone la wivu wako kwangu ni kama ukuta wa babeli, siponyoki na wala sichoropoki. Naahidi kukulinda, kukutunza na kukupenda kwa maana naijua kiu yako kwangu.
Hata seli za mwili wangu husheherekea pindi zisikiapo sauti yako tamu. Moyo wangu nao hudunda kwa kufuata mapigo ya moyo wako, kwani mioyo hii miwili hutambuana kama watambuanavyo wapemba kwa vilemba!
Sina mengi laaziz ila usije kuongeza kizizi.😉
mimi nitaongez subscrebe mzee😂Ingia studio mzee, songi likitoka nitakupigia promo
mimi nitaongez subscrebe mzee😂