Kama mnavyogawa condom, tunataka mgawe pads kwa wanawake wote makazini, mashuleni na hospitalini

girlie

Senior Member
Jul 14, 2017
170
172
Kama ambavyo mnagawa condoms bure mahospitalini, magesti vivo hivyo mgawe na pedi za bure jamani.
Always pads zilishushwa from 2000tshs to 1500tshs,cha ajabu wauzaji mmeng'ang'ana na kuuza 2000tshs hadi 2500tshs. Hamuoni aibu ile ya label ya 1500 tu mnaificha, dhambi kubwa sana.

Tunataka mgawe pads BUREEEEE kwa females wote makazini, mahospitali , mashuleni etc.

Hatuezi kurudi kwenye zama za matambala tena.

Sisi ni mama zenu,dada zenu,your daughters,aunty zenu etc. Em tufikirieni.

Tena zile local pads za mahospitalin nzuri sana muanze na hizo kugawa bure.
 
Kama ambavyo mnagawa condoms bure mahospitalini, magesti vivo hivyo mgawe na pedi za bure jamani.
Always pads zilishushwa from 2000tshs to 1500tshs,cha ajabu wauzaji mmeng'ang'ana na kuuza 2000tshs hadi 2500tshs. Hamuoni aibu ile ya label ya 1500 tu mnaificha, dhambi kubwa sana.

Tunataka mgawe pads BUREEEEE kwa females wote makazini, mahospitali , mashuleni etc.

Hatuezi kurudi kwenye zama za matambala tena.

Sisi ni mama zenu,dada zenu,your daughters,aunty zenu etc. Em tufikirieni.

Tena zile local pads za mahospitalin nzuri sana muanze na hizo kugawa bure.
Utasikia wanakuambia
Ooh Pedi zinatumika Mara 3-5 kwa mwezi na hata zisipotumika hazileti ongezeko la maambukizi ya virusi vya ukimwi
Lakini Inabd tugawe kondom kwa wingi maana zinaweza kutumika zaidi ya Mara 30-50 kwa mwezi na matumizi hayo yanaweza kufanyika kwa mvulana mmoja
 
Utasikia wanakuambia
Ooh Pedi zinatumika Mara 3-5 kwa mwezi na hata zisipotumika hazileti ongezeko la maambukizi ya virusi vya ukimwi
Lakini Inabd tugawe kondom kwa wingi maana zinaweza kutumika zaidi ya Mara 30-50 kwa mwezi na matumizi hayo yanaweza kufanyika kwa mvulana mmoja
Ndo ushamwambia tayari na kasikia
 
Kama ambavyo mnagawa condoms bure mahospitalini, magesti vivo hivyo mgawe na pedi za bure jamani.
Always pads zilishushwa from 2000tshs to 1500tshs,cha ajabu wauzaji mmeng'ang'ana na kuuza 2000tshs hadi 2500tshs. Hamuoni aibu ile ya label ya 1500 tu mnaificha, dhambi kubwa sana.

Tunataka mgawe pads BUREEEEE kwa females wote makazini, mahospitali , mashuleni etc.

Hatuezi kurudi kwenye zama za matambala tena.

Sisi ni mama zenu,dada zenu,your daughters,aunty zenu etc. Em tufikirieni.

Tena zile local pads za mahospitalin nzuri sana muanze na hizo kugawa bure.
Huu uzi unaogofya!
 
Kama ambavyo mnagawa condoms bure mahospitalini, magesti vivo hivyo mgawe na pedi za bure jamani.
Always pads zilishushwa from 2000tshs to 1500tshs,cha ajabu wauzaji mmeng'ang'ana na kuuza 2000tshs hadi 2500tshs. Hamuoni aibu ile ya label ya 1500 tu mnaificha, dhambi kubwa sana.

Tunataka mgawe pads BUREEEEE kwa females wote makazini, mahospitali , mashuleni etc.

Hatuezi kurudi kwenye zama za matambala tena.

Sisi ni mama zenu,dada zenu,your daughters,aunty zenu etc. Em tufikirieni.

Tena zile local pads za mahospitalin nzuri sana muanze na hizo kugawa bure.
Local pads za hospital nunua kotoni na gozi then funga mwenyewe itapita miaka bila kununua pads,,, mkuu
 
Wanawake na zama hizi ni bure kabisa maana visivyopaswa kusema hadharani wanaongea kabisaa bila aibu

Mimi nilikuwa na dada zangu kabla sijajitegemea lakini sijawahi kusikiaga hivyo vitu na kwa mara ya kwanz nilizionaga kipindi naanza chuo. Ndo wanawake wetu hawa sasa tutafanyaje tena
 
Back
Top Bottom