Hizi ni baadhi ya michezo ya kamari inayoendelea nchini ni kuteketeza mabilioni ya pesa toka mifukoni mwa Watanzania:-
BIKO, TATU MZUKA, MOJA SPESHO, SUPER TANO, VODACOM, MERIDIAN BETS, SOKA BETI, SPORTS PESA, MAMILIONI YA GUDUGUDU ZA WACHINA n.k.
Serikali ilitetea uamuzi wake kuwa moja yj sababu ya kupunguza kiwango cha mafao ya wastaafu wake ni kuwafanya wasiwe na matumizi rough yakamaliza mafao yao na kuwaletea vifo vya mapema.
Swali ni, Kama hiyo hoja ina mantiki, vipi hawa walevi wa kucheza kamari wanaoteketeza mamilioni ya pesa na kubaki mafukara,
BIKO, TATU MZUKA, MOJA SPESHO, SUPER TANO, VODACOM, MERIDIAN BETS, SOKA BETI, SPORTS PESA, MAMILIONI YA GUDUGUDU ZA WACHINA n.k.
Serikali ilitetea uamuzi wake kuwa moja yj sababu ya kupunguza kiwango cha mafao ya wastaafu wake ni kuwafanya wasiwe na matumizi rough yakamaliza mafao yao na kuwaletea vifo vya mapema.
Swali ni, Kama hiyo hoja ina mantiki, vipi hawa walevi wa kucheza kamari wanaoteketeza mamilioni ya pesa na kubaki mafukara,