Baba Mtu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2008
- 870
- 168
Nimesoma katika post hii
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-rostam-aziz-mwanahalisi-19.html#post1378647
kuwa gazeti la mwanahalisi linasema kuna maongezi ya mara kwa mara baina ya zitto na rostam. Gazeti hilo limetaja namba zilizotumika katika maongezi hayo kuwa ni +255756809535 na rostam +255754555555.
Kama mimi ningekuwa ni mmoja kati ya hao wawili ningewashitaki mahakamani wamiliki wa kampuni ya simu ya vodacom kwa kutoa habari za maongezi niliyofanya bila kibari.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-rostam-aziz-mwanahalisi-19.html#post1378647
kuwa gazeti la mwanahalisi linasema kuna maongezi ya mara kwa mara baina ya zitto na rostam. Gazeti hilo limetaja namba zilizotumika katika maongezi hayo kuwa ni +255756809535 na rostam +255754555555.
Kama mimi ningekuwa ni mmoja kati ya hao wawili ningewashitaki mahakamani wamiliki wa kampuni ya simu ya vodacom kwa kutoa habari za maongezi niliyofanya bila kibari.