Kama mimi ningekuwa Zitto Kabwe au Rostam Aziz ninge............

Baba Mtu

JF-Expert Member
Aug 28, 2008
870
168
Nimesoma katika post hii

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-rostam-aziz-mwanahalisi-19.html#post1378647


kuwa gazeti la mwanahalisi linasema kuna maongezi ya mara kwa mara baina ya zitto na rostam. Gazeti hilo limetaja namba zilizotumika katika maongezi hayo kuwa ni
+255756809535 na rostam +255754555555.
Kama mimi ningekuwa ni mmoja kati ya hao wawili ningewashitaki mahakamani wamiliki wa kampuni ya simu ya vodacom kwa kutoa habari za maongezi niliyofanya bila kibari.

 
RA aishitaki tena Vodacom ili iweje? Anyway, kwa upande mmoja wazo lako linaweza kufanya kazi. Kwa upande mwingine, hizi habari zinazotolewa zinatukumbusha ukweli kuwa dunia ya sasa inataka accauntability. Living double standard life would expose us unnecessarily.Haya ya Zitto na RA mbona ni madogo kuliko yale ambayo polisi wa dunia USA anayoyaona yakitokea kwasababu ya wikileaks kutoa habari zao za kijasusi.
What a changed world! Na ni nani wa kusimamisha hizi changes???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom