Kama Mimi ningekuwa Dkt. John Magufuli

Kwa nilivyoiharibu Tanzania ningejitoa kwenye huu mchakato wa kumtafuta rais wa Tanzania ili musubi
1. Nipumzike haya Mateso yanayosabanishwa na kazi ya urais
2. Kutoa nafasi kwa nchi hii kupata rais bora
3. Kuwaepusha watanzania wenzangu na dhambi zisizo za lazima pale watakapoamua kunishindisha
4. Kuepuka hii aibu ya kuhutubia watoto wa shule kila siku as if kama nisipokuwa rais nitakufa
 
Ok bse iam in dream ,wait and see,
Hakuna kitu kama hicho kama nyinyi mmejipanga lazima ufahamu na sisi tumejipanga. Hizo njama zenu za kuingiza mamuluki kutoka Kenya zinafahamika. Tanzania tupo vizuri wala usiwe na shaka utawewesekaweweseka wewe na Tanzania utaiacha ilivyo. You are not the only one.
 
1. Ningeaziga jeshi la polisi na vyombo vya dola vifanye uchunguzi na kuwasaka wote waliofanya jaribio la mauaji ya Lissu.

2. Ningewaamuru Polisi wasiwapige mabomu wapinzani.

3. Ningefuta sheria zote kandamizi kwa amri ya rais ( presidential decree)

4. Ningewaita viongozi wa vyama vya wafanyakazi na kuwaahidi kushughulikia madai yao

5. Ningehakikisha Lissu anapewa msafara mzito wa ulinzi katika kampeni zake

6. Ningemfuta kazi Mkurugenzi wa tume ya uchaguzi na kuteua mwingine

7. Nisingewapigia kampeni wabunge na madiwani wasiopendwa na wananchi wa eneo husika

8. Ningemwita Maalim Seif na kufanya naye mazungumzo

9. Ningemwita Mbowe na Zitto na kufanya nao mazungumzo.

10. Ningeendeleza unyeyekevu kwa kauli, matendo, na kuzungumza kwa upole.


Je, Kama wewe ungekuwa JPM!!!
Kenge hadi damu itoke masikioni sheikh.
 
Ningejiuzuru, habari gani hizi za kupigishana magoti kana kwamba kazi nilizofanya miaka 5 hawazioni, ningewaachia ccm yao na kuwaambia mtanikumbuka
 
Hakuna kitu kama hicho kama nyinyi mmejipanga lazima ufahamu na sisi tumejipanga. Hizo njama zenu za kuingiza mamuluki kutoka Kenya zinafahamika. Tanzania tupo vizuri wala usiwe na shaka utawewesekaweweseka wewe na Tanzania utaiacha ilivyo. You are not the only one.
So wabishana na mungu alieumba tz yake ,au kwa sababu uko kwenye kioyoyozi basi wajaua wewe ni Kila kitu juu ya dunia hii, usemapo mmejipanga ,unamanisha nini? Kujipanga kwa lipi? Mungu ndo hupanga na hakuna wakumzuia ,japo huwa twajifariji kwamba mungu hayupo,ila elewa yupo na anaishi , hivyo tafakari ujumbe kwa kina kwake hakuna linalo shindikana atalifanya Leo na kama sio kesho,mungu akupe maisha marefu ipo siku utayaona maajabu yake na utashangaa ,wait and see,
 
1. Ningeaziga jeshi la polisi na vyombo vya dola vifanye uchunguzi na kuwasaka wote waliofanya jaribio la mauaji ya Lissu.

2. Ningewaamuru Polisi wasiwapige mabomu wapinzani.

3. Ningefuta sheria zote kandamizi kwa amri ya rais ( presidential decree)

4. Ningewaita viongozi wa vyama vya wafanyakazi na kuwaahidi kushughulikia madai yao

5. Ningehakikisha Lissu anapewa msafara mzito wa ulinzi katika kampeni zake

6. Ningemfuta kazi Mkurugenzi wa tume ya uchaguzi na kuteua mwingine

7. Nisingewapigia kampeni wabunge na madiwani wasiopendwa na wananchi wa eneo husika

8. Ningemwita Maalim Seif na kufanya naye mazungumzo

9. Ningemwita Mbowe na Zitto na kufanya nao mazungumzo.

10. Ningeendeleza unyeyekevu kwa kauli, matendo, na kuzungumza kwa upole.


Je, Kama wewe ungekuwa JPM!!!
Hawezi kuwa na akili hizo mpaka baadaye kigogo atakapokuwa anatafutwa kwa ajili ya the Hague.
 
1. Ningeaziga jeshi la polisi na vyombo vya dola vifanye uchunguzi na kuwasaka wote waliofanya jaribio la mauaji ya Lissu.

2. Ningewaamuru Polisi wasiwapige mabomu wapinzani.

3. Ningefuta sheria zote kandamizi kwa amri ya rais ( presidential decree)

4. Ningewaita viongozi wa vyama vya wafanyakazi na kuwaahidi kushughulikia madai yao

5. Ningehakikisha Lissu anapewa msafara mzito wa ulinzi katika kampeni zake

6. Ningemfuta kazi Mkurugenzi wa tume ya uchaguzi na kuteua mwingine

7. Nisingewapigia kampeni wabunge na madiwani wasiopendwa na wananchi wa eneo husika

8. Ningemwita Maalim Seif na kufanya naye mazungumzo

9. Ningemwita Mbowe na Zitto na kufanya nao mazungumzo.

10. Ningeendeleza unyeyekevu kwa kauli, matendo, na kuzungumza kwa upole.


Je, Kama wewe ungekuwa JPM!!!
Siwezi kuwa huyo mimi never
 
So wabishana na mungu alieumba tz yake ,au kwa sababu uko kwenye kioyoyozi basi wajaua wewe ni Kila kitu juu ya dunia hii, usemapo mmejipanga ,unamanisha nini? Kujipanga kwa lipi? Mungu ndo hupanga na hakuna wakumzuia ,japo huwa twajifariji kwamba mungu hayupo,ila elewa yupo na anaishi , hivyo tafakari ujumbe kwa kina kwake hakuna linalo shindikana atalifanya Leo na kama sio kesho,mungu akupe maisha marefu ipo siku utayaona maajabu yake na utashangaa ,wait and see,
Thats your narrative i d i o t !
 
1. Ningeaziga jeshi la polisi na vyombo vya dola vifanye uchunguzi na kuwasaka wote waliofanya jaribio la mauaji ya Lissu.

2. Ningewaamuru Polisi wasiwapige mabomu wapinzani.

3. Ningefuta sheria zote kandamizi kwa amri ya rais ( presidential decree)

4. Ningewaita viongozi wa vyama vya wafanyakazi na kuwaahidi kushughulikia madai yao

5. Ningehakikisha Lissu anapewa msafara mzito wa ulinzi katika kampeni zake

6. Ningemfuta kazi Mkurugenzi wa tume ya uchaguzi na kuteua mwingine

7. Nisingewapigia kampeni wabunge na madiwani wasiopendwa na wananchi wa eneo husika

8. Ningemwita Maalim Seif na kufanya naye mazungumzo

9. Ningemwita Mbowe na Zitto na kufanya nao mazungumzo.

10. Ningeendeleza unyeyekevu kwa kauli, matendo, na kuzungumza kwa upole.


Je, Kama wewe ungekuwa JPM!!!
Ningeweka wazi majaliwa ya Ben Saanane
 
1. Ningeaziga jeshi la polisi na vyombo vya dola vifanye uchunguzi na kuwasaka wote waliofanya jaribio la mauaji ya Lissu.

2. Ningewaamuru Polisi wasiwapige mabomu wapinzani.

3. Ningefuta sheria zote kandamizi kwa amri ya rais (presidential decree)

4. Ningewaita viongozi wa vyama vya wafanyakazi na kuwaahidi kushughulikia madai yao

5. Ningehakikisha Lissu anapewa msafara mzito wa ulinzi katika kampeni zake

6. Ningemfuta kazi Mkurugenzi wa tume ya uchaguzi na kuteua mwingine

7. Nisingewapigia kampeni wabunge na madiwani wasiopendwa na wananchi wa eneo husika

8. Ningemwita Maalim Seif na kufanya naye mazungumzo

9. Ningemwita Mbowe na Zitto na kufanya nao mazungumzo.

10. Ningeendeleza unyeyekevu kwa kauli, matendo, na kuzungumza kwa upole.

Je, Kama wewe ungekuwa JPM!!!
Ningekuwa Magufuli ningejitoa kwenye kinyanganyiro maana TL tayari ameshanipiga bao kuendelea na kampeni nijujichoshwa bila sababu. Ona sasa nimeanza k
kupiga magoti mbele ya kadamnasi
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom