sikafunje.N
Member
- Jul 10, 2012
- 86
- 15
Well said Doreen inapendeza mtu uitumie elimu yako ili ikutumikie. tatizo tulilonalo ni kila mtu anadhani ajira au kibarua ndio mwisho wa safari ya elimu... I have been afisa sensa in 2002. ninacho kiongea nakijua tuliletewa watu wa ajabu sana wengi niliwachuja kwenye training tu. sidhani kama system imeiprove kiasi cha haki kupatikana.. walimu ndio walengwa lakini at the end of the day wataambulia vijinafasi vya chini saana na wengine wengi watakosa believe me. Its time now wasomi wetu tutumie makaratasi yetu na uelewa wetu ku create vitu