Kama Mh Rais analalamika, itakuwaje kwetu sisi wananchi?Kwanini asichukuwe hatua badala ya kulalamika?

Mods tafadhali musiiunge hii kwa sasa mtachanganya na pengine kui neutralize hoja yangu ya msingi kabisa. Wakuu nimeshangazwa mno na kauli ya mh jiwe, ambapo badala ya kuchukuwa hatua, yeye analalamika kama sisi wananchi. Anasema sisi si wajinga.

Kama ameliona hilo, kwanini asitusaidie sisi wananchi kwasababu Mambosasa si yeye ndiye aliyemteua? Yeye si ndiye mwenye uwezo wa kumuamirisha hayo maswali yajibiwe ili sisi wananchi ambao hatuna nguvu kama mbosasa mteule wake anayetaka kutufanya sisi wajinga tupate kujibiwa maswali yetu na tusiwe wajinga tena?

Eti anashangazwa hadi leo hakuna aliyepelekwa mahakamani na wakati wapinzani kila leo wako mahakamani ama jela! Kuna watu wamediriki kusema huu ni unafiki. Na mimi naelekea kukubaliana nao, unless rais achukuwe hatua dhidi ya Mambosasa, ambaye ni wazi atakuwa alishirikiana na Bashite. Lazima rais anafahamu, lakini badala ya kuchukuwa hatua, eti na yeye analalamika. Sasa Bashite anakuzidi nguvu gani? Ni sawa na ule usanii wa wakati ule wa yale makontena ya Bashite.

Eti "mambo kama hayo yanalipatia doa jeshi la polisi", hapo si sawa tu na kulalamika?Kwanza hiyo siyo hulka yake, hivyo nakubaliana ni usanii, labda achukuwe hatua!

Na siyo tu achukuwe hatua kwenye hili, bali na mengine mengi ambayo wananchi wana maswali na wahisi kuwa wao viongozi na serikali kwa ujumla wanatuona sisi ni wapumbavu au wajinga!

Na kesi ya Lissu mbona inaitia serikali nzia doa na hasemi?Au lengo lake ni kuvutia Mo Dewji kama alivyovyofanya kwa RA na EL coz mambo ni mbaya? Yani usanii wa kishambashamba sana kusema ukweli. Mh rais, nadhani wewe ndiye unayetuona wajinga. Labda tuone hatua zikichukuliwa na si vinginevyo.
Kuna mtu anatafutiwa kafara si bure

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu anazuga tu au anafikiri kazi yake ni kupanga bei na mnunuzi wa korosho tu.! Basi tuwe na viongozi wakuu 2 mmoja awajibike kwenye bei za korosho na mwingine awajibike kwenye usalama wa raia.

Mbona JK alichukua hatu kwa wale waliohusika wa mauaji ya wauzaji wa madini kutoka Mahenge Moro waliposingiziwa na polis kuwa ni majambazi.
 
Mh. Rais anapozungumza anakua anatupa feedback ya majukumu tuliyompa; hatua huwa anachukua na katika hizo hatua anazozichukua zipo ambazo mnamwita dikteta na zipo ambazo mnasema wanaochukuliwa hatua wanaonewa. ...
 
Mh. Rais anapozungumza anakua anatupa feedback ya majukumu tuliyompa; hatua huwa anachukua na katika hizo hatua anazozichukua zipo ambazo mnamwita dikteta na zipo ambazo mnasema wanaochukuliwa hatua wanaonewa. ...
Lakini ni kama kuna kaukweli flani hivi. Ina maana kumbe huwa hapati briefings? Maana ameongea kama mwananchi wa kawaida na wakati ana uwezo wa kupata all the details akitaka! Alichoogelea kila mtu anakifahamu kwasababu ni taarifa zilizotolewa kwenye vyombo vya habari!
 
Janga KUBWA la Taifa huyo. Hasara TUPU! Halafu anataka kukaa miaka 10 madarakani na hata kuongeza muda wakati hastahili kuwemo Ikulu hata kwa dakika moja!

Mods tafadhali musiiunge hii kwa sasa mtachanganya na pengine kui neutralize hoja yangu ya msingi kabisa. Wakuu nimeshangazwa mno na kauli ya mh jiwe, ambapo badala ya kuchukuwa hatua, yeye analalamika kama sisi wananchi. Anasema sisi si wajinga.

Kama ameliona hilo, kwanini asitusaidie sisi wananchi kwasababu Mambosasa si yeye ndiye aliyemteua? Yeye si ndiye mwenye uwezo wa kumuamirisha hayo maswali yajibiwe ili sisi wananchi ambao hatuna nguvu kama mbosasa mteule wake anayetaka kutufanya sisi wajinga tupate kujibiwa maswali yetu na tusiwe wajinga tena?

Eti anashangazwa hadi leo hakuna aliyepelekwa mahakamani na wakati wapinzani kila leo wako mahakamani ama jela! Kuna watu wamediriki kusema huu ni unafiki. Na mimi naelekea kukubaliana nao, unless rais achukuwe hatua dhidi ya Mambosasa, ambaye ni wazi atakuwa alishirikiana na Bashite. Lazima rais anafahamu, lakini badala ya kuchukuwa hatua, eti na yeye analalamika. Sasa Bashite anakuzidi nguvu gani? Ni sawa na ule usanii wa wakati ule wa yale makontena ya Bashite.

Eti "mambo kama hayo yanalipatia doa jeshi la polisi", hapo si sawa tu na kulalamika?Kwanza hiyo siyo hulka yake, hivyo nakubaliana ni usanii, labda achukuwe hatua!

Na siyo tu achukuwe hatua kwenye hili, bali na mengine mengi ambayo wananchi wana maswali na wahisi kuwa wao viongozi na serikali kwa ujumla wanatuona sisi ni wapumbavu au wajinga!

Na kesi ya Lissu mbona inaitia serikali nzia doa na hasemi?Au lengo lake ni kuvutia Mo Dewji kama alivyovyofanya kwa RA na EL coz mambo ni mbaya? Yani usanii wa kishambashamba sana kusema ukweli. Mh rais, nadhani wewe ndiye unayetuona wajinga. Labda tuone hatua zikichukuliwa na si vinginevyo.
 
Mods tafadhali musiiunge hii kwa sasa mtachanganya na pengine kui neutralize hoja yangu ya msingi kabisa. Wakuu nimeshangazwa mno na kauli ya mh jiwe, ambapo badala ya kuchukuwa hatua, yeye analalamika kama sisi wananchi. Anasema sisi si wajinga.

Kama ameliona hilo, kwanini asitusaidie sisi wananchi kwasababu Mambosasa si yeye ndiye aliyemteua? Yeye si ndiye mwenye uwezo wa kumuamirisha hayo maswali yajibiwe ili sisi wananchi ambao hatuna nguvu kama mbosasa mteule wake anayetaka kutufanya sisi wajinga tupate kujibiwa maswali yetu na tusiwe wajinga tena?

Eti anashangazwa hadi leo hakuna aliyepelekwa mahakamani na wakati wapinzani kila leo wako mahakamani ama jela! Kuna watu wamediriki kusema huu ni unafiki. Na mimi naelekea kukubaliana nao, unless rais achukuwe hatua dhidi ya Mambosasa, ambaye ni wazi atakuwa alishirikiana na Bashite. Lazima rais anafahamu, lakini badala ya kuchukuwa hatua, eti na yeye analalamika. Sasa Bashite anakuzidi nguvu gani? Ni sawa na ule usanii wa wakati ule wa yale makontena ya Bashite.

Eti "mambo kama hayo yanalipatia doa jeshi la polisi", hapo si sawa tu na kulalamika?Kwanza hiyo siyo hulka yake, hivyo nakubaliana ni usanii, labda achukuwe hatua!

Na siyo tu achukuwe hatua kwenye hili, bali na mengine mengi ambayo wananchi wana maswali na wahisi kuwa wao viongozi na serikali kwa ujumla wanatuona sisi ni wapumbavu au wajinga!

Na kesi ya Lissu mbona inaitia serikali nzia doa na hasemi?Au lengo lake ni kuvutia Mo Dewji kama alivyovyofanya kwa RA na EL coz mambo ni mbaya? Yani usanii wa kishambashamba sana kusema ukweli. Mh rais, nadhani wewe ndiye unayetuona wajinga. Labda tuone hatua zikichukuliwa na si vinginevyo.
anataka kujitoa kwenye kashfa ile lakini yumo
 
Janga KUBWA la Taifa huyo. Hasara TUPU! Halafu anataka kukaa miaka 10 madarakani na hata kuongeza muda wakati hastahili kuwemo Ikulu hata kwa dakika moja!
Nakubaliana na wewe mkuu. Hastahili hata kidogo! Either his level of understanding is skewed, or else, he really believes that wadanganyika are grossly stupid!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom