Mtalii wa Kisiasa
Member
- May 3, 2019
- 53
- 144
KAMA MEMBE,ZITTO AU MBOWE ANGEKUWA RAIS!,
Tusingekuwa na ATCL wala SGR, wala zile share zetu za Airtel tusingepata wala Bwawa la kuzalisha Umeme la Rufiji (Nyerere Hydro Power) tusingejenga.
Barabara mpya 8 ya kimara kibaha tishio la Kenya tusingejenga. Gap kati ya maskini na matajiri ingekuwa zaidi,na tajiri angeendelea kuwa na haki hata kama ana kosa, Nidhamu ya mahali pa kazi isingekuwepo,Wafanyakazi hewa wangeendelea kuongezeka, Madini yetu yangeendelea kunufaisha wageni,Wanyama wetu wangeendelea kupandishwa ndege kwenda Ulaya na Uarabuni,
Maofisa wa Serikali wangeendelea kupishana angani,Wakulima wangeendelea kunyang'anywa mashamba yao ili kupisha matajiri.
Na huenda akina Makamba na watoto wao ndo wangeendelea kula mema ya nchi, na huenda neno mtetezi wa wanyonge tusingelijua, na huenda Tanzania ya uchumi wa kati ingekuwa ndoto.
#TuepukeKaziNaBata.
#MbayaNiYaMatajiriTu.
Tusingekuwa na ATCL wala SGR, wala zile share zetu za Airtel tusingepata wala Bwawa la kuzalisha Umeme la Rufiji (Nyerere Hydro Power) tusingejenga.
Barabara mpya 8 ya kimara kibaha tishio la Kenya tusingejenga. Gap kati ya maskini na matajiri ingekuwa zaidi,na tajiri angeendelea kuwa na haki hata kama ana kosa, Nidhamu ya mahali pa kazi isingekuwepo,Wafanyakazi hewa wangeendelea kuongezeka, Madini yetu yangeendelea kunufaisha wageni,Wanyama wetu wangeendelea kupandishwa ndege kwenda Ulaya na Uarabuni,
Maofisa wa Serikali wangeendelea kupishana angani,Wakulima wangeendelea kunyang'anywa mashamba yao ili kupisha matajiri.
Na huenda akina Makamba na watoto wao ndo wangeendelea kula mema ya nchi, na huenda neno mtetezi wa wanyonge tusingelijua, na huenda Tanzania ya uchumi wa kati ingekuwa ndoto.
#TuepukeKaziNaBata.
#MbayaNiYaMatajiriTu.