eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,227
- 16,178
Bila shaka mdude ataletwa Dar tu kwa uzoefu wa haraka haraka
Kwa nini? ni kwa sababu ya yaliyowahi kumkuta tena mdude nyagali mwaka 2016
Baadaye alisafirishwa kutoka vwawa mkoa wa songwe kwenda dar es salaam bila kumpa huduma za kimatibabu wala chakula chini ya ulinzi mkubwa wa polisi.
Baada ya kufikishwa dar es salaam alikabidhiwa kwenye kikosi kimoja cha siri kinachoitwa kikosi kazi au TASK FOCE ambacho kazi yake kinapambana na wanasiasa wa upinzani wanaokosoa serikali ya rais magufuri
Baada ya mdude kukabidhiwa kwenye kitengo hicho alipelekwa kwenye nyumba moja ya mateso iliyopo msasani maeneo ya dar es salaam
Kwa nini? ni kwa sababu ya yaliyowahi kumkuta tena mdude nyagali mwaka 2016
Baadaye alisafirishwa kutoka vwawa mkoa wa songwe kwenda dar es salaam bila kumpa huduma za kimatibabu wala chakula chini ya ulinzi mkubwa wa polisi.
Baada ya kufikishwa dar es salaam alikabidhiwa kwenye kikosi kimoja cha siri kinachoitwa kikosi kazi au TASK FOCE ambacho kazi yake kinapambana na wanasiasa wa upinzani wanaokosoa serikali ya rais magufuri
Baada ya mdude kukabidhiwa kwenye kitengo hicho alipelekwa kwenye nyumba moja ya mateso iliyopo msasani maeneo ya dar es salaam