Habari zenu?
Kulingana na serikali kuonyesha ina nia nzuri na kufanya maendeleo bila kutegemea misaada kwa 100% naiomba ishusje tozo kwa wananchi kwani ni mzigo.
badala yake iweke akaunti maalum wananchi wapenda maendeleo tuchangie kwa hiyari,
watengeneze hata control namba maalumu tuwaunge mkono.
Naona kuna kila dalili kapu la serikal limefilisika
Kulingana na serikali kuonyesha ina nia nzuri na kufanya maendeleo bila kutegemea misaada kwa 100% naiomba ishusje tozo kwa wananchi kwani ni mzigo.
badala yake iweke akaunti maalum wananchi wapenda maendeleo tuchangie kwa hiyari,
watengeneze hata control namba maalumu tuwaunge mkono.
Naona kuna kila dalili kapu la serikal limefilisika