johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Ikumbukwe kuwa Chadema ilikuwa inakopa kwa mwenyekiti wake mh Mbowe badala ya kwenda kukopa kwenye benki za kibiashara.
Naupongeza utaratibu wa Chadema kwa sababu pamoja na kwamba hawajamlipa Mh Mbowe madeni yake bado Freeman amekuwa mvumilivu kwa sababu yeye mwenyewe ni sehemu ya chama.
Maendeleo hayana vyama!
Naupongeza utaratibu wa Chadema kwa sababu pamoja na kwamba hawajamlipa Mh Mbowe madeni yake bado Freeman amekuwa mvumilivu kwa sababu yeye mwenyewe ni sehemu ya chama.
Maendeleo hayana vyama!