Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Najiuliza sana JESHI la POLISI linasema Mh.MBOWE alitenda MAKOSA Anayotuhumiwa toka Mwaka 2020
Kipindi hicho RAIS wa TANZANIA alikuwa JOHN MAGUFULI
Najiuliza ina Maana MAGUFULI Alishindwa Kumkamata MBOWE?
Au MBOWE hakuwepo NCHINI?
Na kwanini Akamatwe Kwenye KONGAMANO la KATIBA MPYA wakati Muda Mwingi MBOWE alikuwa DSM na Arusha kwenye MSIBA wa Kaka yake?
VIONGOZI wetu ACHENI SIASA za CHUKI Madhara yake ni MAKUBWA kwa TAIFA
Kipindi hicho RAIS wa TANZANIA alikuwa JOHN MAGUFULI
Najiuliza ina Maana MAGUFULI Alishindwa Kumkamata MBOWE?
Au MBOWE hakuwepo NCHINI?
Na kwanini Akamatwe Kwenye KONGAMANO la KATIBA MPYA wakati Muda Mwingi MBOWE alikuwa DSM na Arusha kwenye MSIBA wa Kaka yake?
VIONGOZI wetu ACHENI SIASA za CHUKI Madhara yake ni MAKUBWA kwa TAIFA