Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Kwenye gazeti la Rai Mwema kuna taarifa kwamba Mbowe na Slaa walipata matokeo ya kushindwa kwenye uchaguzi wa Igunga saa tano usiku wa Tarehe 2/10/2011. Ninachojiuliza ni kwa nini si yeye wala Slaa aliyekuwa tayari kuwaambia wafuasi wa CHADEMA kwamba wameshindwa? Vurugu zilizotokea kwa sababu wafuasi hao waliamini kwamba kura zao zimechakachuliwa si zingezuiliwa?
Najua kuna hali imeanza kujijenga kwenye siasa za Bongo kwamba uzalendo ni kuonyesha CCM inakosea kwenye kila jambo!
TUTANGULIZE KWANZA TANZANIA KULIKO USHABIKI WA VYAMA VYETU!!
Najua kuna hali imeanza kujijenga kwenye siasa za Bongo kwamba uzalendo ni kuonyesha CCM inakosea kwenye kila jambo!
TUTANGULIZE KWANZA TANZANIA KULIKO USHABIKI WA VYAMA VYETU!!