Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Yapo Mambo yanaenda kinyume na sheria na taratibu na bila kuona Nani anaelekeza yafanyike.
Yakitokea wasomi wanaulizwa mbona hapa sheria zetu hazisemi hivi? Wanajibu wameelekezwa kufanya na maelekezo ya mkubwa ni amri, ukiwauliza wakubwa wapo wengi, ni yupi mmoja wapo? Kimya
Kama nchi ndo inavyokwenda, kwamba ninavyojisikia leo ndivyo mtakavyokwenda wote, je wasomi Kama maprofesa wanahitajika kwenye nafasi kubwa? Au anayehitajika Ni mtu wa kusoma na kuandika ambaye ataenda kutekeleza?
Sidhani Kama tunahitaji kuwa na PHD kwa ajili ya kupokea na kutekeleza maagizo, ila tunahitaji phd kwa ajili ya kusoma na kuelekeza njia sahihi ya kwenda.
Yakitokea wasomi wanaulizwa mbona hapa sheria zetu hazisemi hivi? Wanajibu wameelekezwa kufanya na maelekezo ya mkubwa ni amri, ukiwauliza wakubwa wapo wengi, ni yupi mmoja wapo? Kimya
Kama nchi ndo inavyokwenda, kwamba ninavyojisikia leo ndivyo mtakavyokwenda wote, je wasomi Kama maprofesa wanahitajika kwenye nafasi kubwa? Au anayehitajika Ni mtu wa kusoma na kuandika ambaye ataenda kutekeleza?
Sidhani Kama tunahitaji kuwa na PHD kwa ajili ya kupokea na kutekeleza maagizo, ila tunahitaji phd kwa ajili ya kusoma na kuelekeza njia sahihi ya kwenda.