sina uhakika wa usalama wetu kwa jinsi technology ilivyo kuwa ukilinganisha na spidi yetu.
Pengine kwa kutumia old technology tupo salama zaidi kuliko tunge kuwa na hizo advanced technology . Taarifa nyingi tunawakisanyia na kuwapelekea sisi wenyewe.
Lakini tuna weza kabisa kuwapoteza tukiwa strategic tatizo tamaa na umasikini wa mtu binfsi. . . .